Recent content by blessed one

  1. B

    Movie gani imekubamba zaidi 2016?

    London has fallen na eye in the sky
  2. B

    Watanzania waliopo nje ya nchi watapataje vitambulisho vya Taifa?

    Kma nimepoteza hcho kitambulisho na namba zke nilisahau kuzinakili nifanyeje?
  3. B

    Laptop yangu inazima ghafla

    dah thaks mkuu!! ngoja nilifanyie ufumbuzi
  4. B

    Laptop yangu inazima ghafla

    Kwenye connection wa kipande cha waya cha adapter na pc kunapigaga vikelele flan mara kwa mara cjajua ni vya nn. na nikikonect kwenye stablilizer, stablilizer huwa inapiga kelele.
  5. B

    Laptop yangu inazima ghafla

    haina wakat maalum nnaweza nikakaa hata cku kadhaa isizime ila inaweza tokea cku nimewasha nmeitumia kidogo ikazima. Joto ililonalo nikitumia sio kubwa ni joto la kawaida kama lilivyokuwa mwanzo
  6. B

    Laptop yangu inazima ghafla

    Nina laptop yangu aina ya Toshiba satellite betri lake limeharibika siku c nyingi kwahiyo natumia moja kwa moja toka kwenye umeme. Sasa hivi imekuja na tatizo jipya ambalo ni kuzima ghafla lakini ukiiwasha inawaka kama kawaida. Ni tatizo ambalo halitokei mara kwa mara ila co mara moja nimekutana...
  7. B

    Kitaa cha charger kwnye pc yangu hakiwaki

    Check up hatakuwa gharama kubwa?
  8. B

    Kitaa cha charger kwnye pc yangu hakiwaki

    Habari wanakuu; Nina Laptop yangu Toshiba satellite C850-B540 ghafla haionesh kma inachaj yaani kile kitaa chekundu kinachowakaga ukiingiza charger baadae kinakuwa cheupe betr ikijaa hakiwaki. Cjajua ni betri au kuna kitu kwenye pc kimeungua mana. Ingawa inanipa warning kuwa nahitaj badili betr...
  9. B

    Sura ya chadema kitaifa

    Ss nimejua kwa nn jana bungeni ccm walikuwa wanang`ang`ania wahojiane kiswahili badala ya kiingaleza.
  10. B

    Bunge la Tanzania laendeshwa kwa uzoefu badala ya kanuni

    We will miss u samweli sitta kwenye kiti chako
Back
Top Bottom