Ulitumia kampuni gani? Nimegundua sio 1xbet, ni watu wa mitandao. Mimi tigo wananiambia pesa inaonekana na watairudisha ndani ya saa 24 mpaka leo, nikiwapigia wananipa stori hizo hizo
Nimetuma pesa tangu tarehe 23/09 mwaka huu, kila siku tigo wanasema itarudi ndani ya saa 24 ila mpaka leo kimya. Huyu jamaa nimemcheki wala hajibu meseji yangu, mpaka nikaona nifute tu namba yake maana hana msaada
Habari wadau, nimepata vijisenti kiduchu na kuona kama naweza angalou nunua kausafiri hivi. Nataka kuñunua NISSAN X TRAIL ya mwaka 2007 ambayo ni dolali 4115 ila wanasema tax and duty haipo. Je, hiyo tax and duty ni shs ngapi? Wataisafirisha mpaka Arusha. Msaada please.
Ni kabila gani, kama ni mnyaturu au mnyiramba andika maumivu, huwa ni wababe sana, hawataki kuwa chini ya mwanaume. Wanataka wao ndiyo wawe kila kitu, wanadharau, kiburi, jeuri, kisirani na malaya pia[emoji4][emoji4]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.