Poleni na uchovu wana JF,
Ninaomba kujua juu ya biashara ya uuzaji wa maharage, sehemu yanapopatikana kwa bei nzuri, soko linapaytikanaje na misimu ya kuuza?
Nitashukuru endapo nitapatiwa ufafanuzi.
Ahsanteni.
Umeongea point kubwa mno,unawakarisha tamaa kabisa kuna vijana wengi tuu mtaani hatuna ajira sasa ukiongea maneno kama hayo si ndy unawavunja hata moyo wa kuwa kwenye mahusianoo, hayo magari unayomiliki wengine hata baskeli hawamiliki kabisaa , kama unahuruma wape na wao mbinu za kufanikiwa kama...
Hahaha umenichekeshaaa, kwa hiyo wasio na pesa wasioe? Wanadamu funatofautiana viwango vya pesa kwamaana hiyo watu hawataoa kama ndy hivo maana kunawengine wanazeeka hata bajaji hawajamiliki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.