Recent content by Blandina Vedastus

  1. B

    Naomba ushauri juu ya biashara ya kuuza maharage

    Poleni na uchovu wana JF, Ninaomba kujua juu ya biashara ya uuzaji wa maharage, sehemu yanapopatikana kwa bei nzuri, soko linapaytikanaje na misimu ya kuuza? Nitashukuru endapo nitapatiwa ufafanuzi. Ahsanteni.
  2. B

    Vijana msioe kama bado hamjajipanga, unakuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo, ist, vitz n.k

    Umeongea point kubwa mno,unawakarisha tamaa kabisa kuna vijana wengi tuu mtaani hatuna ajira sasa ukiongea maneno kama hayo si ndy unawavunja hata moyo wa kuwa kwenye mahusianoo, hayo magari unayomiliki wengine hata baskeli hawamiliki kabisaa , kama unahuruma wape na wao mbinu za kufanikiwa kama...
  3. B

    Msaada wakuu, natafuta ajira yoyote

    Kweli aisee, ndy kilichopoo
  4. B

    Vijana msioe kama bado hamjajipanga, unakuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo, ist, vitz n.k

    Hahaha umenichekeshaaa, kwa hiyo wasio na pesa wasioe? Wanadamu funatofautiana viwango vya pesa kwamaana hiyo watu hawataoa kama ndy hivo maana kunawengine wanazeeka hata bajaji hawajamiliki
  5. B

    Msaada wakuu, natafuta ajira yoyote

    Nimejiajiri pia sijakaa tuu kizembe, lakini nj vizur kufanya kaz ya taaluma yangu maan ndy ndoto yang
Back
Top Bottom