ooh oh ndo naiona i,,,oi ishi ase btw sikupangii kikubwa punguza shobo! kama inauma zaa tu masta au unaonaje ukija na thread yako kabisa ya shobo shobo
sema mzee unapenda sana atention,,unawish ungekua Yoga sio😂,,Unaongea sana mzee,ebu ongeaga kidogo na mafact asee,,bnafsi unanichosha unavyojikuta...Punguza shobo kwny thread za watu,fanya yako
nimeielewa Point yako saaana,Binafsi niliwahi kuwaza i kitu!! tusome ila tusibebe mambo km yalivyo...za kuambiwa Changanya na zako,,sombdy smwhere ni King wa Propaganda na sisi bongo tunapenda propaganda so anatupatia mdo mdo
ni kweli Mungu alituumba wanadamu kwa mfano(utukufu) wake. Kwanini? ili akatawale vilivyomo duniani ~(Dominion), km yy atawalivyo kila kitu. Lakini mwanadamu anabaki kweny nafasi ya utawala(mamlaka) endapo tu atabaki kweny kuumbwa kwa mfano/sura/utukufu wa Mungu! Sura ya Mungu ndiyo ile waliokua...
kama kw izi comments hawa ndo Watusti basi nasikitika kusema wanastaili walchokipata...Zero brain comments asee🤯 imagine they never learn from history. Kumwelimisha mtu mweusi mpk akaelewa kunaitajika neema ya Mungu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.