Madhara bado yapo makubwa sana, angekuwa hana madhara basi wasingekuwa wanamjibu bado anadeni na sisi atubu kila kitu walichofanya kuongea kwake ndo anasafisha nzuri
Kuna kitu umenistua hapo haya mabadiliko yamewalenga akina mpina , gwajima wale wasema kweli ili kuwa minya kusema ukweli au kutoa mitazamo yao hiki kitanzi ni hatari
Tatizo waliza inje na kusahau ndani hakuna vita kama ya ndani kwa ndani, alianza ndugai , akafat ngwaji boy sasa zamu ya mzee wa slow motion ila jamaa ni mwelevu sana soon kuna mwingine atatokea huyu sasa atatokea sehem za kusini mjiandae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.