We we ni wakala wake? Atakuwa rais chini ya chama gani? Hachukui posho? Mbona alichukua mlungura wa kutosha tena kauchukulia Ujerumani? Kama asingekengeuka kwa CHADEMA,tungemuamini.Lakini kwa sasa tukimpa urais,atatuuza kwa wajerumani
Hi yo yote anajibu jeuri kwasababu wakitumbuliwa wanaachwa wanazagaa mitaani.Utaratibu uwekwe kuwa mtu akitumbuliwa,ashikiliwe na polisi baadae keko akisubiria uchunguzi
Hiyo ni ngumu kwani tumegundua kuwa sehemu nyingi na nyeti wamejaa wenyevyeti fake. Tukisema ifanyike review vyombo vya habari vitafunua macho ya watz taifa lita aibika. Kwakuwa wanajulikana, watapigwa chini mdogo mdogo mpaka waishe.
Tumuombee rais wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.