Recent content by blackhandsome7

  1. blackhandsome7

    Ni jambo gani watu wanalifanya sana lakini wewe huwezi?

    Yaani mimi kuwa kwenye mahusiano na demu wiki swezi nkishamula tu basiiiiiii
  2. blackhandsome7

    Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

    Bond Fund mkuu , kiko Cha kuanzia Cha chin ni milion tano
  3. blackhandsome7

    Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

    asee mm ata sielewe hawa UTT nliwekeza milion tano mwaka jana ambapo faida ilitakiwa kuwa laki 6 , Lakin naona muda haujafika na laki 6 ishatimia sjui wamejisahau bado mwez mmoja lakn bado faida inazd makadrio kwa mwaka
  4. blackhandsome7

    Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

    Nod maana mm napenda kununua vitu Zanzibar , Ukipigwa sana hauwez kuzdi efu20
  5. blackhandsome7

    Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

    Nod maana mm napenda kununua vitu Zanzibar , Ukipigwa sana hauwez kuzudi efu 20
  6. blackhandsome7

    Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

    Wengi wanaosema siwez kuweka million 100 noasubr gawio la million kwa mwkaa wengi hawajawah shika ata million ya kwao , ivi unajua nguvu ya kupata million 100 na ku risk ipotee kizembe
  7. blackhandsome7

    Natafuta fursa za utalii Zanzibar

    Kuna kozi inabidi usome ya guide kuhusu Zanzibar na kupata kitambulisho Ni USD 100 na utakuwa unalipia kila mwaka ku renew
  8. blackhandsome7

    Natafuta fursa za utalii Zanzibar

    ase Zanzibar hela ipo kama unajua izo lugha SEMA mwanzo magumu inabd ujisajili Kwanza kuwa guider upate kitambulisho
  9. blackhandsome7

    Nitajihusisha na financial markets maisha yangu yote

    Tatizo la forex inakufanya udharau kazi zingine unakuwa unajipa moyo utaingiza hela umelala
  10. blackhandsome7

    Pro social media manager + marketing

    Unafundisha? Niwe nafanya mwenyewe
  11. blackhandsome7

    Fahamu jinsi ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo (Mfano: Milioni 1)

    Ukiona uzi hauna wachangiaji wengi hapo ni madini tupu,wabongo hatupend vitu vya msingi ooh
  12. blackhandsome7

    Hatimaye nimeondoka rasmi nyumbani

    Uko vizuri unaanzia maisha kigambini pakuanzia maisha ni mbagala
  13. blackhandsome7

    Uswahilini kuna fursa

    Uza vitafunwa kwa bei ya chini
Back
Top Bottom