Jina la Israel ni jina la nabii YAKUB Baba take YUSUF yeye ndio alieza watoto 12 na jina hilo alipewa na ALLAH (swt) na wale watoto wake ndio wanaitwa Wana wa Israel baada ya kuishi misri myaka mingi ndipo MUSSA alikuja kuwarudisha falestina .ndio sikatai upo Sahihi mkuu Israeil mana yake ni...
Ukatoliki dini ya mchongo lakini ni kama wa katoliki wengi bado wamelala vipi mtu mwenye akili zake timamu utaenda kuungama mbele ya kiumbe kama were je yeye Hana makosa wala hakosei
Sababu kuu nikupenda kuskia kila wanachoambiwa na kuaminishwa
Ni kama akili IME stop ha ifunction
Mjadala sio wa islam tuna zungumzia ushoga ndani ya kanisa katoloki .
Hata mimi huwa najiuliza sana kwenye haya mambo ya ushoga na katoloki plus siasa za dunia,katoloki ni dini ilio anzishwa baada ya Jésus na walio ianzisha no wale wale walio kuwa Wana mpiga vita jesus kabla hajatoweka
Yani...
Mkuu ni kweli kuna kitu wameficha kwa sababu humanity revolution ya Kwanza ilianzia Africa ,the first billionaire wa Kwanza na hajawahi kupatikana kwenye USO wa dunia alikuwa mweusi anatokea West Africa MANSA MUSSA THE RICHEST MAN IN HISTORY.na huyu mwamba alijenga chuo cha Kwanza kikubwa Africa...
Mkuu Acha kutowa povu hujalazimishwa kuwa mu islam amekwambia wenzio kutokana na mambo yanayo endeleya Gaza wamepata fursa ya kujifunza uislam ni Nini ,lakini sio lazima Uwe mwislam
Hahahhh Afghanistan Kiko wapi Leo Israël anacho kifanya kuuwa civilian wasio kuwa na hatia ndio mwisho wake,alaf kingine hii vita haishi Leo ao kesho mkuu hata 50 years plus anavouwa raia watoto wadogo wa mama wazee ana zalisha wakina Hamas wengi na uadui mwingi hawezi kuwa salama
Bro shida ina kuja sehem moja haya unayo yaona Leo ni mikakati na mipango ya muda mrefu walio panga mayahudi walijuwa iko Siku moja tutakuja kusimama na kuitawala dunia sio mwarabu tu hii kitu IPO karibia dunia nzima kuna mikataba uchwara walisha signishwa inchi kibao Kwa faida Yao na Leo hii...
Wewe bado Una lala huja amka usingizini,unamjua gaidi kweli 11 September ulikuwa na umri gani kijana ,Nani alimuua muammar gadaf vita vya Iraq vita vya Syria vita vya Vietnam iroshima na Nagasaki vita vya wanyarwanda wenyewe kwa wenyewe chanzo unakijuwa na Kwa nini waliuwana ilikuwa ilikuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.