Recent content by Black Mann

  1. B

    Single mother bana, tabu tupu

    na sisi single Fadher tunaruhusiwa kuoa wadada fresh au?
  2. B

    Mwanamke yoyote aliye mpweke kama mimi tuungane na kupeana kampani

    Upweke wa mahusiano sio starehe au pesa.
  3. B

    Mwanamke yoyote aliye mpweke kama mimi tuungane na kupeana kampani

    Habari za jioni ndugu zangu, Nimeamua kuja hapa kueleza hisia zangu yawezekana kuna atakayeguswa na Mimi. Mimi Nina miaka Kati ya 30-36 naishi Dar es salaam, nimekuwa mpweke Kwa muda mpaka nimechoka sasa, naomba mwanamke yoyote aliye mpweke kama Mimi tuungane na kupeana kampani, umri wowote...
  4. B

    Biashara ya miwa

    Sawa mkuuu, nashukuruuuu Ismoo
  5. B

    Biashara ya miwa

    Habari wakuuu, Mimi nauza miwa kutoka shamba moja Kwa moja, miwa mizuri kabisa Kwa matumizi ya juice na kutafuna. Pia naomba Kwa anayejua sehemu ya uhakika nayoweza kushusha mzigo nikauza Kwa juamla anisaidia Kwa hapa Dar es salaam. 0658644485 number yangu
  6. B

    Uzi maalumu kwa wanaotaka kuoa na kuolewa

    Hakuna shida mkuu, naomba connection kama unawajua
  7. B

    Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

    Weka kalyanda utakuja kunishukuru
  8. B

    Naomba kujuzwa mchanganyiko mzuri wa chakula cha nguruwe

    inategemea unafunga nguruwe Aina gani na Kama wa kuzaliana au wa kuuza (kuchinja) Unaweza kutumia vyakula special kama vile *pig grower pallet" au (pig finisher pallet) kulingana na nahitaji yako Kwa nguruwe wadogo Unatumia starte na....
  9. B

    Kwanini wimbi la wadada wasomi kukosa wanaume wa kuwaoa linaongezeka?

    Naomba connection ya unaowafahamu naweza kupata mke hapa
  10. B

    Natafuta rafiki wa kiume

    Kutokusomea Afya kumenishanikosesha rafiki
  11. B

    Uzi maalumu kwa wanaotaka kuoa na kuolewa

    Mimi nataka kuoa kama nitapata muha au msukuma anayejitambua wa kijijini kabisa! Kama kuna mtu ana connection ya vijijini naomba msaada
  12. B

    Kuna Soko la pumba Moshi na Arusha?

    Habari za majukumu ndugu zangu, Naomba kufahamu na connection ya soko la pumba Kwa mikoa ya Arusha na Moshi. Ni pumba laini kabisa za maindi na mpunga Mimi na pumba ya kutosha nipo tabora. Mawasiliano zaidi 0658644485
Back
Top Bottom