Habari za jioni ndugu zangu,
Nimeamua kuja hapa kueleza hisia zangu yawezekana kuna atakayeguswa na Mimi.
Mimi Nina miaka Kati ya 30-36 naishi Dar es salaam, nimekuwa mpweke Kwa muda mpaka nimechoka sasa, naomba mwanamke yoyote aliye mpweke kama Mimi tuungane na kupeana kampani, umri wowote...
Habari wakuuu,
Mimi nauza miwa kutoka shamba moja Kwa moja, miwa mizuri kabisa Kwa matumizi ya juice na kutafuna.
Pia naomba Kwa anayejua sehemu ya uhakika nayoweza kushusha mzigo nikauza Kwa juamla anisaidia Kwa hapa Dar es salaam.
0658644485 number yangu
inategemea unafunga nguruwe Aina gani na Kama wa kuzaliana au wa kuuza (kuchinja)
Unaweza kutumia vyakula special kama vile *pig grower pallet" au (pig finisher pallet) kulingana na nahitaji yako Kwa nguruwe wadogo Unatumia starte na....
Habari za majukumu ndugu zangu,
Naomba kufahamu na connection ya soko la pumba Kwa mikoa ya Arusha na Moshi.
Ni pumba laini kabisa za maindi na mpunga
Mimi na pumba ya kutosha nipo tabora.
Mawasiliano zaidi 0658644485
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.