Recent content by bkk

  1. bkk

    Series bora ulizowahi kuangalia

    Blacklist ni noma boss
  2. bkk

    Series bora ulizowahi kuangalia

    Kuna yeyote amewahi kuicheck TAO seeker?..hii ni moto,,nimeishia 43 aliyewahi kuicheck imishia ngapi? hii ni bonge la series
  3. bkk

    Je, barabara Mlowo - Kamsamba kwanini haijawekwa lami?

    Daa!!.sjui lini tutapata viongozi wanaojitambua [emoji134]
  4. bkk

    Je, barabara Mlowo - Kamsamba kwanini haijawekwa lami?

    Hii ni aibu kubwa sana kwa mkoa wa SONGWE..nimepita mikoa mingine barabara unakuta ya kawaida lkn wameijenga vzr.miji mikubwa ya wilaya ya mbozi chanzo kikuu cha mapato ni barabara hii. Isitoshe kuna gesi na mafuta umesema vimegunduliwa na wanapita humo na mamitambo yao na vumbi lkn kama hawaoni...
  5. bkk

    Je, barabara Mlowo - Kamsamba kwanini haijawekwa lami?

    Maeneo yenye dhahabu hawajangi lami?
  6. bkk

    Je, barabara Mlowo - Kamsamba kwanini haijawekwa lami?

    mbunge ni wa CCM..ila za chinichini ni hawaelewani na makada ngazi ya wilaya na mkoa ,ko huenda wanaonesha umwamba wao
  7. bkk

    Je, barabara Mlowo - Kamsamba kwanini haijawekwa lami?

    Kunahaja serikali ifuatilie kwa umakini mambo haya
  8. bkk

    Je, barabara Mlowo - Kamsamba kwanini haijawekwa lami?

    Mkuu hiyo ya barabara ngapi kwa umuhimu wake hazijajengwa sio kazi yangu..mimi nalalamikia inayonihusu. Kuhusu barabara ya iyula kama ni maamuzi ya mkoa basi ulichemka kwa sababu: Ile barabara inaenda kuunganisha hadi ileje tayari ipo ya mpemba ndani ya mkoa. Pia sio ya kimkakati kwa uchumi kama...
  9. bkk

    Je, barabara Mlowo - Kamsamba kwanini haijawekwa lami?

    Moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mkazi wa mbozi..tumekuwa na barabara kuu inayounganisha mlowo-kamsamba-sumbawanga.hii barabara ni nguzo kubwa sana ya uchumi hasa ktk miji ya mlowo na vwawa.ni tangu zamani watu wamekuwa wakihoji kwa nini barabara muhimu kama hiyo haina LAMI? Je, mbunge wetu...
  10. bkk

    Usaili nafasi ya msimamizi TEHAMA umenivuruga

    Hii ishu wengi wanalalamika hata huku kwetu wilaya ya mbozi wengi wameondolewa kwa kigezo hicho..wanataka waliospecialize kwenye IT$science
Back
Top Bottom