ndg mabint wa cku hz hawaeleweki pole sana kaka wanapendwa kudanganywa na vitu vdogo sana pia influence ya marafki ikiwemo badae huja kujuta yanayowakta na ktaman kurudiana lakn huogopa
ndg pole hukujua policies za loanbod ilikuwa first to aplpy first to be treated/chosen. Wewe ulituma lin? May,june, au july? Km ulituma mwishon mwa june au mwanzon mwa july unaeza kosa mana walitoa option mapema kuomba mkopo hata kabla matokeo ya f6 kutoka.
Me nacheka tu nikikumbuka nilimwambia mdada mmoja kwamba 'ushawahi kupanda ndege? Akasema hapana! Basi nikamwambia nitakununulia ndege ukinikubalia mara akanirukia na kunikumbatia, waschana bwana! Wakati hata kijijin kwetu penyewe uwanja wa ndege ni ndoto kuupata. Teh.
juzi nimetoa laki 8 kwenye mpesa yake cha ajabu kang'ang'ania jero tu. Eti kaipenda ! Ooh hajanywa chai, mara oh anataka kununua bigbom. Bandg nilijiuliza maswali nikaishia kucheka. Ckujua anamaanisha nini.
Da? Kaka mpe pole ila mimi co mwanandoa lakin hali inaonyesha kuwa mama aliekopeshwa hela pamoja na mke wa jamaa kuna dili limechezwa aidha kuna mwanaume anamchukua mke wa jamaa na mipango yote wanaijua wote watatu yani mama mkopeshwaji, mke wa jamaa na kinjemba behind . Da! Pole kaka ni hayo...
Msife moyo km kweli ulifunga na kumuomba walao siku mbili tatu hv na umetoka kapa ! Bc jua mpango wa mungu kwako ni mkubwa sana tena sana kuliko hata walopata mkopo ndg! Pili mkumbuke kuwa mawazo ya mungu sio sawa na mawazo ya mwanadamu huwez jua km ungepata mkopo kingetokea nini, tarajia kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.