Jarbu kuchangamana sna na marafki zako ili uachane na hali ya kumkumbuka,, pia na ww tafuta wako wakukupumzisha
ukweli wa MUNGU pale aliponiacha ni palepale nina staajabia na hata picha sipati.tulipitia mengi ndugu yangu sijui hata nikuambieje,nakumbuka alipofiwa na mama yake jinsi livyohangaika na kauli alioniambia mimi ndio baba na mama yake, ilinifanya nimchukulie bila yeye mimi sio. halafu tumeachana eti! aah wapi sijakubali bado.
wengi wanazaliwa,wengi wapo lakini si kila aonekanae ndio wangu,wengi ni wa watu japo na mimi ni mtu ila yule hajafanana na mtu yeyote kwa kweli.asante lakini.