Recent content by BK94

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wanachama wote wa CHADEMA waliokamatwa kwa porojo ya Maandamano ya 77 kupewa kesi ya Uhaini na Ugaidi

    Haya yote alaumiwe ccm kwa kwa kuleta mtu kilaza kuongoza nchi
  2. B

    JamiiForums Tanzania Je, uwepo wa Dini ni sababu ya Afrika kutokuendelea?

    Labda wewe ndo hujaelewa mada,dini zimekuwa kikwazo cha maendeleo hasa dini ya kiislamu imekuwa imekuwa kikwazo kikubwa
  3. B

    JamiiForums Tanzania Je, uwepo wa Dini ni sababu ya Afrika kutokuendelea?

    Hilo liko wazi mapdre wanakupa elimu ya imani na bado wanakupa elimu ya dunia ili ukawe daktari,ukawe rubani,injinia....hao mashekhe wanakupa nini tofauti na maswala ya imani
  4. B

    JamiiForums Tanzania Familia ziwe macho na vijana wao, ndugu kutafunana imezidi

    Wanaona sifa kulana,ila wataalamu wanasema inbreeding ni hatari sana kwa afya ya mwili na akili
  5. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Watu wanacheza kwa plan,huyo spain mwenye ontarget 12 ana magori mangapi?
  6. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    France aliyepigwa
  7. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kamaliza nafasi za sub
  8. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hawa spain wakiendelea kulegeza miguu yao mechi ifike penalti bas argentina anachukuwa ubingwa
  9. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sub ni 5 zinazofanyika mara 3,sijui umeelewa!
  10. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ukitaka uone udhaifu wa argentina omba spain apate gori alafu uone msako utakaopigwa.....timu penadol acheni makasiriko Argentina ni timu strong sana
  11. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ndo mpira wa kingereza huo,hata mexico alimiliki sana lakini aligongeshwa,na huyu argentina anagongwa leo,na fainali spain anagongwa......England wanataka matokeo hawataki showoff
  12. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hii ndo mechi bna watu tunainjoi,sio kama jana watu wanapiga vipasi uchwara,
  13. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    We unataka mtiririko gani mjomba,hili ndo soka zuri,ni mwendo wa kuperekeana moto tu hakuna kupiga vipasi mchele mchele kama vya spain
  14. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Ungejaribu hii jana ungekula hela,hapo ungejiongeza spain to qualify coz nilikwambia spain atacheza fainali
  15. B

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Bonge moja la mechi,atake pita hapa ndiye bingwa coz anaenda kukutana na kiboyo mmjoa kati ya england na argentina
Back
Top Bottom