Recent content by BJEVI

  1. BJEVI

    Sakata la Richmond: Dr. Mwakyembe amkaanga Lowassa, Kumburuza Mahakamani...

    ccm ni wezi tu hakuna jipya.kwanini Lowasa hajafikishwa mahakamani miaka 8 iliyopita?
  2. BJEVI

    Linganisha picha ya UKAWA na CCM Mbeya jijini

    hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
  3. BJEVI

    Freeman Mbowe awasili kituo kikuu cha Mabasi Ubungo na kulakiwa kwa shangwe kubwa

    wenye mabasi wawaajiri madereva wengine kama wana uwezo.think big
  4. BJEVI

    Freeman Mbowe awasili kituo kikuu cha Mabasi Ubungo na kulakiwa kwa shangwe kubwa

    hebu waeleze tu ndg.yangu kwa sababu watz ni watu wasioelewa kabisa.
  5. BJEVI

    Afya ya Lowassa Mgogoro: Akimbilia Ujerumani kwa matibabu

    Leteni hoja nzito .siyo kujadili afya za watu.wanaokufa kwa ajali ghafla wanaumwa nini?
  6. BJEVI

    Zitto Kabwe awanyima usingizi CHADEMA, viongozi wahaha nchi nzima kuzima moto wa ACT

    Lala ukiamka nitakujibu.CHEAP LABOUR
  7. BJEVI

    Zitto Kabwe awanyima usingizi CHADEMA, viongozi wahaha nchi nzima kuzima moto wa ACT

    hivi CCM na mikono yenu (ACT) mbona mnachanganyikiwa mapema.Ikifia sept,2015 itakuwaje....MARA act MARA zito. ..NAULIZA act ni mdudu gani kwa watz wanaojielewa.Rudisheni miaka nyuma angalau mngekuja na uzi huu mwaka 1990 watz tungewaelewa.
  8. BJEVI

    Zitto Kabwe awanyima usingizi CHADEMA, viongozi wahaha nchi nzima kuzima moto wa ACT

    hivi CCM na mikono yenu (ACT) mbona mnachanganyikiwa mapema.Ikifia sept,2015 itakuwaje....MARA act MARA zito. ..NAULIZA act ni mdudu gani kwa watz wanaojielewa.Rudisheni miaka nyuma angalau mngekuja na uzi huu mwaka 1990 watz tungewaelewa.
  9. BJEVI

    Mwongozo: Kwa wanaohitaji kadi za uanachama ACT-Tanzania

    watafute watakupa ujanja/mbinu wanazotumia wakishirikiana na ccm kuhujumu upinzani nchini.
  10. BJEVI

    Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

    uko sahihi at maximum.
  11. BJEVI

    Msimamo wa Ligi Kuu Bara, baada ya mechi za jana

    hapo imekaa vizuri kaka
  12. BJEVI

    Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

    wape kadi wanaofanana na wewe
  13. BJEVI

    Silinde akanusha yeye na Wenje kufanya maamuzi magumu muda ukifika

    - sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi. - sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi - sijawahi kuona popote siasa inapofanywa...
Back
Top Bottom