Recent content by Bizzoo1

  1. B

    Nadaiwa Bilioni 4 benki, sina kitu hali iliniendea vibaya. Naomba ushauri

    Ukiingia na bilioni kwenye madini 90% utaishiwa tu sasa rudi kongo kajipange ila oongea na bank wasimamishe riba.
  2. B

    Kwanini Matajiri wa siku hizi hawawezi kuishi na watu wengi majumbani mwao kuliko wale wa enzi za zamani?

    Leo familia yake itakuwa inakufa masikin na walio saidiwa hawarudishi fadhila kwa hiyo familia.
  3. B

    Treni ya umeme naona imeanza kazi

    Waliyoyaleta wanajua kama ni ya umeme au siyo.Mi naona tungeanza kwanza na umeme wa uhakika badae mabehewa yafuate.
  4. B

    Oya Mwanenu mapenzi yanataka Kunitoa Roho

    Mku unalipwa 2m unatishwa na pis inayojiuza .Pale dukani ni mawindoni huyo ni njaa kali sanuka.
  5. B

    Je, Mafanikio yana Formula? Kufanikiwa ni mbinu au bahati?

    Maandalizi+ Fursa + Bahat= Mafanikio
  6. B

    Mika Mwamba alitendea haki beat kwenye hizi nyimbo

    Wameacha kumbukumbu .
  7. B

    Hakuna biashara inafilisi kama uchimbaji wa madini

    Mku badili mbinu kuozesha rudio unatakiwa usiwe na mtaji wa mawazo bora ukusanye uwauzie wenye nguvu .
  8. B

    Je, mtu huyu nimfungulie kesi ya aina gani?

    Kosa la kwanza wanakaaje kikao wagawane majukumu ya kuangalia mali wakat wewe ndio muhusika mkuu? Inawezekana wanahis wewe umedandia mali za dada yao
  9. B

    Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

    Mmesha kuwa mwili mmoja hakuna usiri
  10. B

    Sikuruhusiwa kukagua Daftari la Maslahi na Rasilimali la Paul Makonda

    Mzigo ni wake itakuwa alimtumia mwenzake kwenye kuuset sasa akasahau kubadili umiliki akiwa kwenye madaraka sasa mwenzake anataka kumzima.
  11. B

    Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

    Shukuru mungu ujapasua kuni na kutumwa tumwa mixer kuchoteshwa maji.
Back
Top Bottom