Kwa matangazo ya Mchana huu toka vyombo mbalimbali vya Habari kuwa Pierre nkulunzinza amepinduliwa na kiongozi wa jeshi imeanza kunipa mwanga kidogo,
Naanza kumuelewa jk na viongozi wenzake wa east Africa
Asante sana jk
Ni ujinga sana kutawaliwa na masikini mpumbavu /wapumbavu shenzi sana serikali ya maSikini! Ubaya wa maSikini hata akili yake inakuwa ya kimasikini Yaani anajiwazia yy tu na kwa wakati ule aliopo wala si wenzake na kesho yake
Mkuu pale strabag Tanzania branch kuna uswahili mwingi sana, strabag ni kampuni nzuri sana ila tatizo pat kuna utz (wapenda kula bila kufanya kazi)!am sure for it coz nimefanya kazi miaka miwili pale strabag
Mkuu kama umegusa ukweli flani hivi maana ukiangalia kwenye vitabu vya dini mwafrika kama amelaaniwa flani hivi sijui ni kweli ama ni mbinu za mzungu kutushika akili maana hata dini ametuletea yy cc tuna pokea tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.