Jamani Mie ni Kama siwaelewi huyu ns, Mbona sugu kalirudia Hili Swala la MIL. 10 Lakini naibu spika akauchuna tena???? Anavyopenda Ubishi Si angemwambia sugu athibitishe?? Mbona kama kuna ukweli hapa??? Hivi NS ni wa kuliacha hili Swala lipite hivi hivi???kweli????naona Kama alihisi akimwambia...
Hii kesi naona kama mrisho atashindwa mchana kweupe Kama kukiwa na mawakili wazuri, nimemsikiliza mtu kutoka basata Leo kupitia TBC I think Akawa anafafanua maana ya neno shoga,,akasema linaweza kutumika kwa watu wa jinsia zote,japo Inamaanisha ukaribu Fulani,sio kwa jinsia ya kike tuu,, mnaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.