Duh Mwanakijiji kweli unakomaa Mkuu ...na umejipiga upofu wa dhahiri kabisa kutokana namapenzi yako..
Hakika ule u nguli wako unapotea sasa sio kwa sababu kwa sasa umevaa kijani? La hasha ni kwa sbb unaonekana kabisa kulalia upande mmoja hata kwa sbb zisizo na msingi kana kwamba ulikuwa na...
U have dissappointed me....
Mimi nilikuwa nakuchukulia kama msomi...Unajua hata ukiwa mwanachama wa chama fulani tunategemea bado usomi wako utake precedence katika masuala muhimu yakitaifa.
sasa wewe unakiri ni muumini wa slaa....so kwenye uchaguzi hukuwa na dira wala hukuwa na alternative so...
Meningitis Hujitambui
Na wala hukuwahi kuelwa falsafa ya movement ya uchaguzi huu....
Lala salama Bongo lala.....Mwanzoni nilifikir uko na akili ila siku zinavyoendelea unaniongezea wasiwasi
Enjoy
Ndugu Mdau
Habari yako.
Kwa muda nimekuwa nikifikiria uwezekano wa mimi kujiingiza katika biashara ya mbao (haswa kutoka Iringa)
Nilichoambulia ni kwamba biashara hii ya mbao.
1.huweza kufanyika either kwa kununua mbao toka wakulima moja kwa moja
2.kununua shamba na wewe mwenyewe kupasua mbao...
Mara Nyingi Professor JK amekuwa akinilazimisha kufikiri sana pale anapoamua kutumia hadhira inayoitwa WAZEE WA DAR ES SALAAM.
Tija gani huyu Professor huipata kwa kutumia hadhira ya namna hii?
Mbona Wazee wangu mtaani hawakualikwa kuna Vigezo gani ambavyo wamekosa,
Je anachokifanya kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.