makange nyama yoyote uipendayo. limao ,kitunguu ,chumvi ,hoho ,karoti ,nyanya 2 ,soya sosi ,honga ,tangawizi ,kitunguu thaumu ,mafuta ya kupikia . ,safisha nyama vizuri ,tia limao, chumvi kadogo,tangawazi,na kitunguu thaumu. acha kwa dk 10- 15 .weka mafuta jikoni, yakishapata moto tosa nyama...