Jimbo linachukuliwa na vicky kamata
Mkuu uko sahihi sana. Mie nilikuwa simfahamu. Siku moja alinikuta Villa Park Bar nimekaa counter. Akanijoin na kuniagizia kinywaji. Tukawa tunapiga michapo tu kama mtu wa kawaida na alikuwa amezoeana na Barman . Nikamwagizia naye kinywaji akachukua. Baadaye akatoa ofa kwa watu wengine, na ndo katika mazungumzo akajitambulisha ! Alikuwa huwezi mtofautisha na general public na alikuwa anaongea kwa uchungu sana kuhusu ufisadi. R.I.P brother!!!
Polen masela wa ambassidor na wale mabaunsa waliokuwa wakoingia nae club,polen wafanyakazi wa vyoo vya public pale geita maana n mradi aliowaachia wanageita,
polen wafanyakazi wa copcot maana alikuwa mkurugenzi wenu, pole za dhati zimfikie david kizito shemeji yake aliempeleka urusi kujifunza umakenika,ingawaje kwenye cv alionyesha ni mbobevu,pole ziwaendee wale wote waliosoma shule za kalangalala, mbugani, geita kwa msaada wa geti uliotoka kwa bwana max, pole zingine ziende hosp ya wilaya maana kuna wakati alikuwa akitoa chakula bure, pia pole kwa mkewe na mtoto mmoja,
mwisho kabisa pole kwa vijana, wauza kahawa hasa kijiwe cha Mzee shughuli kwani walinufaika sana na uwepo wake bungeni had I kugikia kupewa TV ya barazani,mwisho kale kabustan kanakoonekana geita ni mpango WA bwana Max karibu na jengo la ccm wilaya,R.I.P brother we shall miss u much
ladies and gentlemen
we a Mourning the death of Geita MP Donald
Max. He is 8th to depart. Others are
Mwaiposa, Komba, Sumari, Mtema, Khamis,
Mgimwa & Bwanamdogo.
May his soul rest in peace! !!
Ni huko huko. Waswahili wansema ni uchuro lakini vile vile wanasema Kufa kufaana! Sikumbuki vizuri hivi ndiye huyo ndoa iliota mbawa dakika za mwisho watu wakiwa wameshachanga mil 100?Ndo Kule kamatwa alipopeleka baiskeli?
EPA, RADA, MEREMETA, RICHMOND, ESCROW, MYUMBA ZA SERIKALI, WAMA, EOTF, KIWIRA ... Prop. Magamba LTDchama gani?
Haswaaa!RIP, je warithi wake watapewa yale mafao ya ubunge? Tsh 230 Milioni
Ni huko huko. Waswahili wansema ni uchuro lakini vile vile wanasema Kufa kufaana! Sikumbuki vizuri hivi ndiye huyo ndoa iliota mbawa dakika za mwisho watu wakiwa wameshachanga mil 100?