MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Sijawahi ona juha kama wewe,katika nchi za usa,japan,ufaransa,na ulaya kwa ujumla,kiongozi yeyote haruhusiwi kuhusishwa na malaya kwa namna yeyote,na akijulikana katiba zinasema ni kosa la jinai!
Ccm mmeshindwa kubadili sheria ya ndoa ili mnufaike nayo,kutongoza,kushawishi hapa ni kwa simu au kwa namna yeyote unaachia ngazi hayo ndio maadili yao.
Sisi Taifa huru linaruhusu watawala kujirusha na vimwana?, mmeua maadili ndio maana yanafanyika haya.
Rais Bill Clinton alipigiwa kura ya kutokuwa na imani kwa kutembea na katibu muhtasi wake,leo wewe unasema komba hakuvunja sheria!, kwa umalaya?
Ndio maana madanguro chini ya ccm hayafutwi!,maana ni nyumba za wabunge wenu!!
Ndio maana wanafunzi wanapata mimba mashuleni,mnasema viherere vyao!, ndio maana wabunge wa kuteuluwa wengi wa ccm vimwana!
Tumechoka tunahitaji katiba mpya itakayosema maadili ya kiongozi akiwa na hawara,au amemzalisha mwanamke yeyote,asiruhusiwe kuwa mgombea,awe mtoa kodi kwa biashara halali si danganya toto chadema leteni Azimio la maadili kabla ya 2015,
Tuliza Mzuka afande, Hebu tafuta kale ka thread cha machemuli uondoe stress...