Recent content by Biok

  1. B

    Airtel wameniibia kamisheni yangu ya mwezi wa nane

    Let say umekusanya kwenye lipa mil 4,unaigawa kwenye line za lipa 5 kila line laki 8,ukitoa unalipwa 2119 comm, 2119*5=10595 comm,lakin ukitoa mil 4 Kwa wakati mmoja unalipwa 2119 comm tu,hii ndo maana ya kugawa miamala ninavyoelewa mm na Huwa nafanya,sasa Kwa risk taker na wapambanaji Kuna...
  2. B

    Airtel wameniibia kamisheni yangu ya mwezi wa nane

    Cha msingi ona wapi faida ni kubwa zaidi,Mimi voda commission ya mwezi august ilikuwa 670000 Nimekatwa nikaambulia 210000,kwangu Mimi sikuumia sana Kwani kupitia lipa nimetengeneza mil 3.3,na nilivyowapigia simu wakaniambia Huwa nagawa miamala nikasema ok maisha yaendelee
  3. B

    Haya wale wa MTFE

    Uvivu mbaya sana,jamaa yangu kapigwa mtfe hakomi Leo kahamia Bitcoin anadai huko uhakika,mie nshamwambia ni suala la mufa Nako ataloose tu
  4. B

    Kesi mbalimbali za kampuni ya DP World inayotaka kuendesha bandari ya Dar es Salaam

    Sijui nani katuroga na SS ndo tunaelekea huko
  5. B

    Mwijaku alirudia shule au alisilimu?

    Mi nimesoma name UDSM ni mweupe mno kichwani,labda aliwekeza huko kwenye uchawa maana hata coursework tulimsaidia alikuwa haji discussion,ila nilichojifunza kwake ni kuwa ujasiri ni mhimu sana ktk maisha,cong.kwake Kwa kufanikiwa kupitia uchawa
  6. B

    MFTE ni Ponzi scheme, utapeli ulijificha kwenye kichaka cha forex trading

    Itakuwa kweli,Kuna jamaa angu nimemsikia Leo analalamika kuwa anashindwa kutoa Hela
  7. B

    Gerson Msigwa: Tozo kwenye Miamala ya kutoa pesa bado ipo

    Kuanzia tarehe 1/7/2023,ilitangazwa kuwa serikali sikivu ya mama imesikia kilio Cha watanzania imeondoa tozo kwenye miamala ya simu,lakini jambo lililofanyika ni usanii tu,tozo zimetolewa kwenye miamala ya kutuma tu lakini kwenye miamala ya kutoa tozo Iko palepale. Uhalisia uliopo ni watu...
  8. B

    Amos Makalla amshambulia Freeman Mbowe mbele ya Rais Samia

    Ila ukweli usemwe wazi huyu RC Makala ni mweupe sana kichwani probably ndio maana JPM alivyogundua Hana chochote kichwani aliamua kumtema,kwahiyo kwake yeye wauze bandari na kupoteza uhuru wetu na tubaki kimya kisa mbowe kala ruzuku?ivi huyu anabebwa na nani kupata huo ukuu wa mkoa?je Kwa...
  9. B

    Rais Samia akopa zaidi ya Tsh bilioni 900 kutoka Abu Dhabi

    Wafanyabiashara na mabepari wanyonyoji wako serious always
  10. B

    Waandishi wa Habari waliotembelea bandari Dubai

    Mwenye mawazo tofauti na raisi anabandikwa hoja ya ubaguzi,Raha yenu wote tuwe chawa wa mama kama ulivyo wewe?
  11. B

    Waandishi wa Habari waliotembelea bandari Dubai

    Kosa kubwa ni kuwa tuna raisi mwanamke,kiuhalisia wanawake wengi wanapenda sana utegemezi,wao jambo likiwa na changamoto kidogo tu ni wepesi wa kukimbia kutafuta msaada,Si ajabu mama zetu wanakopa kwenye vikoba na sehemu zingine kutatua changamoto za mavazi,kitchen party,kusuka nywele n.k...
  12. B

    Waandishi wa Habari waliotembelea bandari Dubai

    Hili ni andiko Bora zaidi hapa jf,hakika Mungu asimame nasi huyu mama ameamua kuwauzia warabu nchi yetu,Si punde tutakuwa landlocked country.
  13. B

    Namna ya kuanza biashara ya uwakala wa mitandao ya simu

    Dirisha limeshafunguliwa Voda,line za mpesa zinapatikana
Back
Top Bottom