Mkuu TANESCO Nimebambikiwa deni la umeme la milioni tatu. Kila nikinunua umeme nakatwa asilimia 50%, tatizo limeanza wiki mbili zilizopita. Baada ya kupiga simu nikapewa taarifa ya hilo deni kuwa ni kabla ya mfumo wa Luku. Nimekuwa mlipaji mzuri wa bili za umeme Tanesco kabla ya Luku.
Hivyo...
Dell Inspiron laptop (350,000 Tsh)
Processor: Core i3
Ram: 4GB
Hard Disk: 500 GB
HP Notebook (400,000 Tsh)
Processor: Core i3
Ram: 8GB
Hard Disk: 500 GB
Laptops zote zimetumika lakini zipo kwenye hali nzuri
Kwa anayehitaji anicheki PM
Habari za ijumaa,
Nasikia mida hii mods wamelala, kama hawajalala sio mbaya pia nina swali kwao "kuwa na ID zaidi ya moja ni kosa kwa sheria za JF?" Baada ya swali hilo nawakumbusha mods tupo chitchat na ninawakaribisha wachangie kwenye uzi wangu.
Turudi kwenye mada sasa leo itakua vizuri...
Mkuu unapouliza namba kwa mtu akisema hana ni bora kumuuliza kama ana uwezo wa kuipata akutumie na sio kwa nini hana. Hilo swali halijakaa vizuri, hasa kwa mtu ambaye hamjazoeana.
Lakini suala la msingi usije kujilazimisha kwa mtu ambaye hana time na wewe. Jitahidi kuwatafuta lakini kuwe na...
Hongera kwa kutafuta za kwako.
Hata hivyo niliowalenga wameelewa. Na kama umeolewa usipotoshe wenzako, nadhani hilo ndio lililokugusa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.