Recent content by binty mzazi

  1. B

    Usione mwanaume katulia kwenye ndoa ukajua kaendewa kwa mganga,uganga tunao wenyewe wanawake....

    Kila siku ni mijadala ya kumfurahisha mwanaume, mijadala ya kumfanya mwanaume abaki kwa mkewe tu, je mijadala ya wanaume kumfurahisha mwanamke iko wap? mijadala ya wanaume kumpa amani mwanamke kwa juhudu anazomfanyia iko wapi? mi nachoka jamani.
  2. B

    Wenye ndoa tukumbushane pilika pilika za maisha

    Kama je unampa kimoja kila siku? hahahaaaaaa wanawake tuna majukumu mazito sana, unaweza ukawa unafanya yote lakini kuna siku mwili hua unagoma kabisa. Au lazima kimoja kitakushinda kidogo. Uende job asubuh, urudi jioni, uje uhudumie mtoto, umuandalia baba chakula, ukute ndo wa kurud home saa5...
  3. B

    Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

    Mimi mda wote naeka ultra sheen, ilinikubali sana, lakin nilivyopata mimba na kunyonyesha nywele zimekua mbaaaaayaaaaa, sizipendi hata kidogo, nataka nibadili dawa, mega growth nadhan. nywele zangu ni nzito,nyingi, c laini wala c ngumu.
  4. B

    Maumivu ya viungo

    Habarini zenu. Naomba kujuzwa mtu anaeumwa sana viungo hasa joints za mikono, magoti na miguu, mgongo, kiuno na kichwa, kuna shida gani hapo? ni kuchoka sana stress au tatizo jengine?
  5. B

    Msaada, uzito wa watoto

    binti 7.1, kijana 7.5 wana 10 months. yeah,wanakula mno.
  6. B

    Msaada, uzito wa watoto

    kifupi wanakula sana, chochote utakachoshika nao wanataka na ukiwapa wanakula. Na ni wachangamfu kweli, binti ni mtundu hadi nahisi kupiga kelele akianza fujo, na ndo kana kilo ndogo sana kuliko mwenzie.
  7. B

    Msaada, uzito wa watoto

    wana 10 months, asubuhi tu wakiamka nawapa maziwa, saa 2 nawapa uji wa lishe, wanapumzika, wakiamka nawapa supu ya samaki au mbogamboga itakayokuwepo,wanapumua kama aftr an hour wanapewa juice au tunda wale wenyewe, nikiwa nakunywa chai nao nakaa nao pemben nawapa mkate wanatafuna, mchana...
  8. B

    Willy Gamba, Hofu, Njama, na E MUSIBA, Mnakumbuka Enzi Hizo?

    Hofu, Njama, niliwahi visoma hivyo vitabu. Nikivipata tena sitaacha kuvisoma kwa kweli.
  9. B

    Msaada, uzito wa watoto

    Wazima humu. Jamani mimi twins wangu uzito wao hata nashindwa kuuelewa, wanakula vizuri tu, wako active lakini kwenye uzito napata mawazo sana. Binti amerudi kwenye kijivu, kijana nae anarudi nyuma badala ya kwenda mbele. Nisaidieni jamani, nakosa raha sana.
  10. B

    Mtoto analia sana nyakati za usiku

    Kwa kweli kulia kwa mtoto usiku ni kawaida sana, zingatia usafi wake, zingatia kusali pia jaribu hospital. Kama hakuna tatizo basi vumilia tu baada ya mda fulani ataacha. Inatesa sana, mm twins wangu wamekuja kutulia after 4 months.
  11. B

    Ukweli kuhusu yule House girl aliyempiga mtoto

    Samahani kwa wale wanaosema wamama kuwaachia malezi hausgalz mnakosea sana. Hakuna mzazi anaependa kwenda kazini na kumuacha mtoto mikononi kwa mtu hata asiyemjua, tukitoka makazini weng hua tunajitahid kusaidia kaz japo kumlisha mtoto, wengne kazin ni mbali had kufika hom ni 3hrs akifika mtoto...
  12. B

    Majambazi yaua tena Lumo Kona

    Kwani ni nini kinatokea jaman? watoto wanapotea wakipatikana wamekufa na hawana viungo, watu wanauana, serikali iko kimya. Mimi kama sielewi, nakosa amani kabisa.
  13. B

    Tatizo la mtoto kuvimba kitovu baada ya kukatwa vibaya

    Kwa kweli hata mwanangu wa 9 months ana tovu kubwa. yaan akilia au akiwa anasimama kitovu kinavimba, nakosa raha kbsa na tovu lake, pacha wake yuko sawa tu kitovu cha kawaida
  14. B

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    kumwambia mtu unampenda kwa kihaya wanasemaje?
Back
Top Bottom