Its the evel of stupidy mnayoonyesha, au kwasababu nimesema vijana? Maana it can be anyone hata kijana wa kike.
Any hows ilikua ni mchongo wa e-marketing na nilitaka kushare na watanzania wenzangu waliopo hayo maeneo coz saaa ingine sio kila kitu unapass kwa unaowajua.
Kwa style hii watu...
duu ndo maana Wa TZ tuko nyuma kifikra na kimaendeleo. Mtu anatafuta fursa za biashara na kutaka kutoa nafasi kwa vijana nyie mmeenda kwenye mambo ya ki&$#@zi kabisa.
Specifically nimesema awe anajua mambo ta teknolojia na social media, anyways walio serious wamejieleza all the best na fikra...
Habari nahitaji mtu aliepo Uganda
Awe na uzoefu wa masuala ya teknolojia na social media. Pia awe kijana mchangamfu yani kijana wa mjini ukipewa kazini unafanya kwa uhakika.
Hajakuoa na hajakulipia mahari mnaishi wote....wazazi wamelifumbia tu macho ???
Hamjaanza kuzinguana leo....anafikia hatua ya kukulaza nje unaona sawa???
Na kuna sehemu umeandika ushawahi enda sherehe ukarudi saa moja jioni akakupiga.....
Kwa haraka haraka nadhani wewe ndio tatizo.
Kuna namna...
Alikupigia simu umpelekee funguo ...kwa maana kwamba yeye hakua nazo. Lakini uliporudi ukakuta amejifungia ndani? Au alivunja kitasa akatengeneza usiku huo huo?
Mimi ndio sijaelewa au wewe ndio haujaeleweka?
Ooooh mtoto mzuri what a painful and brutal way to die.Mungu awape faraja ya kudumu wazazi na ndugu zake.
Waliofanya ukatili tunawakabidhi pia kwa Mungu ashughulike nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.