Recent content by binti kigoli

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

    Kuna mtu anasumbuliwa na Tatizo la kukoroma lililo pitiliza... Hii inamkosesha raha hata akiwa amelala na mpenz wake. Jaman ds s seriously msaada plz...!!
  2. B

    JamiiForums Tanzania Tabia ya baadhi ya wanaume kununanuna pasipo kuwa na sababu inanikera

    Tatizo mna gubu yaani
  3. B

    JamiiForums Tanzania UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Lowassa
  4. B

    JamiiForums Tanzania Tabia ya baadhi ya wanaume kununanuna pasipo kuwa na sababu inanikera

    Hivi kwanini baadhi ya wanaume wanatabia ya kununanuna kama wanawake ukifanya kidogo tu kanuna ukikosea kidogo tu kanuna, mambo ya hela kanuna khaa. Jamani kama mpo humu baadhi mmbadilike. Bora mwanamke anune nune kuliko mwanaume.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuna ubaya gani kumpa zawadi hii?

    Imenibidi nicheke na usomi wote umemnunulia zawadi ya chereani hata mm nisingekubali.. NA kama kuna ka bebi kangu kako humu kajue sitakagi zawadi kama izo
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kipindupindu, msitishe kunyonyana nyeti: Rafiki yamemkuta

    sawa mchungaji tumekuelewa
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa na uwezo ma group ya whatsap na whatsapp yenyewe ingefutwa inatuharibia ndoa

    Nawewe unakumbukumbu kuhusu mume angular kikojozi pongez mkuu naona mtama unaokulaga kuongeza kumbukumbu umekusaidia
  8. B

    JamiiForums Tanzania Aunt Ezekiel na Ray wazungumzia kurudi kwao CCM - Live on Clouds TV

    50ml chezea pesa wew hata mm ningeenda
  9. B

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa na uwezo ma group ya whatsap na whatsapp yenyewe ingefutwa inatuharibia ndoa

    Naandika hapa kwa uchungu mimi binti kigoli tabia za wanaume wakirudi nyumbani ni whatsap tu inakera tena zile whatsapp za magroup zile ndoa zinaboa kabisaa Mara nachati wafanyakazi wenzangu Mara nimesomanao eti vidudu, primary, olevel, A level, Chuo kikuu mnakera wanaume kwanini sisi ayo...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mchumba wangu ni Kikojozi

    Si bora kukojozwa unapata raha musttarehe kuliko kujikojolea sikero hiyo mkuu
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mchumba wangu ni Kikojozi

    Vote tumeshafanya lakin wapi labda nichakurith
  12. B

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Tutajenga Minara ya simu katika kila Kijiji hapa Lindi

    Hamna kitu apo..!
Back
Top Bottom