Recent content by bint ismail

  1. B

    Msaada wenu unahitajika ili kulinda ndoa yangu

    Bado hajawa muislamu kamili huyo, alisilimu kufata ndoa tu, mfate sheikh au wazazi wako na wenye busara wamueleweshe akikaidi huyo c mke kwako
  2. B

    Hii mikasa inanipata mimi pekee?

    Mtu na elimu yako kwann unga'ang'nie hapo, kwanza ulifanya kosa una mafunzo ya kijeshi mazuri unazubaa mitaani, ulikua pale pale ulipopata mafunxo uingie jeshini badae ungechukua degree kaxini na kupandishwa cheo na mshahara mzuri, nakushangaa sana mtu na elimu yako na ujuzi wako unamrumikia...
  3. B

    Kwa wanaume, unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya mapenzi?

    Sergio muongo ww, wale warembo wa chavita unawala kwa mkono wa kushoto
  4. B

    Wale wapenzi wa kuchokonoa masikio kwa kutumia pamba stick na vijiti yaliyonikuta mimi iwe funzo kwenu

    Ni hii 0777194010 watsap, au msg za kawaida usipige cna uwezo wa kusikia
  5. B

    Wale wapenzi wa kuchokonoa masikio kwa kutumia pamba stick na vijiti yaliyonikuta mimi iwe funzo kwenu

    Mbona hujanipa namba za huyo dokta alokusaidia, halafu unisaidie spital kubwa private yenye huduma za ENT kwa Daa ni ipi
  6. B

    Wale wapenzi wa kuchokonoa masikio kwa kutumia pamba stick na vijiti yaliyonikuta mimi iwe funzo kwenu

    Mana mm masikio yote mawili, ila la kulia ndo hata nikiitwa sisikii, limezidi kabisa
  7. B

    Wale wapenzi wa kuchokonoa masikio kwa kutumia pamba stick na vijiti yaliyonikuta mimi iwe funzo kwenu

    Mkuu endapo nitampata huyo dokta wako naomba anisaidie kwa vipimo, no 0777194010, watsap na msg za kawaida cna uwezo wa kusikia asipige, nitaweza kusafiri kuja Daa kwa vipimo inshallah
  8. B

    Wale wapenzi wa kuchokonoa masikio kwa kutumia pamba stick na vijiti yaliyonikuta mimi iwe funzo kwenu

    Mkuu lichadi, nilipatwa na tatizo nikiwa na miaka 16 mwaka2002, nikakatisha masomo wakati huo nasoma kidato cha kwanza, niliumwa macho kwanza nikawa sioni ila siyo kwamba sioni kabisa, wakati huo usikivu ukaanza kupotea polepole kidgo naskia katika harakati za kujitibu nikafanikiwa macho...
  9. B

    Wale wapenzi wa kuchokonoa masikio kwa kutumia pamba stick na vijiti yaliyonikuta mimi iwe funzo kwenu

    Nifanyeje kumpata huyo tabibu, mana nimefika agakhan lkn cjaambulia chochote
Back
Top Bottom