Hapana bana zote zinaweza kutumika kwa ajili ya usafirishaji. Nilipokuwa china wanazo zote hizo na kila mtu anaenda kupanda kutokana na mahitaji yake. Na wao wameenda zao za kwao ni two way.
Jiulize hizo za kenya zinatumia umeme? Pia jiulize SGR ya kenya imeishia wapi? Hao wakenya wenyewe wanatushangaa tunavofanywa mazuzu na Kigwa mrupukaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.