Watu tunataka Iryn aliwe tena ikiwezekana azagamuliwe hadi asubuhi alafu unasema kuwa unapokea simu mara unamsikiliza Eva daaah imeniuma sana ila ndo hivyo mwanetu Insider hatuwezi kumkataa aendelee kuburudisha
Mzee mwenzangu wa IHUNGO boys Chura anakusalimia sana pamoja na Rutunda! Anyway tulitisha sana kipindi hicho ila vijana tulikuwa na harakati nyingi wazee wakudrop kashai na Nyamkazi hahahaha Kila bash ujue tupo hahaahahhah
Sisi kipindi tupo 823KJ mwaka 2013 wakati tunamalizia kozi ya miezi minne tuliulizwa anayetaka kujiunga na jeshi baada ya mafunzo ya mujibu tuliandika majina na baada ya kuanza chuo tulipigiwa simu ilikuwa ni 2014 mwezi wa tatu hivi watu wakaunga bogi la TMA
Hivi hawa Save the Children walishaita watu au mimi ambaye sijaona chochote kwa email nijue imeisha hiyo?
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.