Maneno yako yana ukweli mwingi sana. Nimekaa hapo kwa siku 8, nimeyaona. Uongozi una udhaifu na Mwigulu anautumia.
Pamoja na kwamba hapa si mahali sahihi kuleta malalamiko ya ndani LAKINI NAMUUNGA MKONO MTOA MADA kwa kuwa inawezekana yeye hana nafasi ya uongozi hivyo hana pa kupeleka...
wakubwa wanafaidi jamani. wengine mtaishia kupelekwa iramba na mikoani na kujazwa zygote, saa ya kwenda mamtoni hamjui, hamhusiki maana mnanuka jasho kuna vitu maalum huko vinawasubiri. POLENI!
alwayz i do trust on SPORA LIANA. Ni aina bora ya wakurugenzi waadilifu wachache tulionao tanzania. yule mbunge wa bahi omari badwel anamtambua jinsi alivyomdakisha rushwa. ARUSHA MOTO HALMASHAURI NDO UNAWAKA, NA BADO HATUJAONGEZA KITI CHA SOMBETINI, maana hata mungu hawezi kuwasaidia ccm kukipata
mpina wa kisesa, kangi lugola wa mwibara, ally kessy wa nkasi, fulikunjombe wa ludewa, ester bulaya vt maalum WAMEPANDA MELI WASIYOJUA IENDEKO. FOR POLITICAL STABILITY huko waliko siko na DALILI NYINGI zinaonyesha wana vitabia tofauti na wenzao wa huko. WAJE KIUMENI!
lukuvi kaogopa aibu kama iliyompata ndugai alipokutana na mnyika. MACCM HATA YAWE 30 HAWAMUWEZI KAMANDA YEYOTE WA CHADEMA. MACCM YOTE CHENGA CHENGA TU!
uchaguzi wa chama unaendelea sasa ktk ngazi za misingi, wakufunzi wa CHADEMA NI MSINGI wamepata mafunzo na wanaendelea kuijenga chadema kwa kufanya uchaguzi wa mabalozi na misingi. then tunaelekea matawini, kata, jimbo, wilaya, mkoa na finally taifa. WE ARE TOO SYSTEMATIC!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.