Recent content by Bin Shaib

  1. Bin Shaib

    Je ni halali kwa Kondakta kukukata nauli yako?

    Nakubaliana na wewe mkuu!
  2. Bin Shaib

    Je ni halali kwa Kondakta kukukata nauli yako?

    Hapo me naona ilipaswa umpe maelezo kuwa hiyo pesa nyingine unayo matumizi mengine kw maana hapo kakusidia tu kwa 500,,yeye akijua huna ziada tofauti na 500
  3. Bin Shaib

    Je ni halali kwa Kondakta kukukata nauli yako?

    Wakuu habari ya uzima wenu,,,, namshukuru MUNGU kwa uhai na neema ya upendeleo kwetu,,atukuzwe MUNGU. Basi bila kuchelewa Moja kwa moja kwa mada ,,,, tumekuwa na ubishi takiribani inakaribia miezi 6 jambo hili halijapata suruhu kati yangu na yule tuliyekuwa tumeanzisha mada hii, tumekuwa...
  4. Bin Shaib

    Wapendwa naumwa kiuno

    Sawa mkuu mi ni miaka 29
  5. Bin Shaib

    Wapendwa naumwa kiuno

    N Nilitua vizuri changamoto iliyosababisha shida ni kuutikisa mwili sehemu ya kiuno
  6. Bin Shaib

    Wapendwa naumwa kiuno

    Umri wangu ni miaka 29 mkuu
  7. Bin Shaib

    Wapendwa naumwa kiuno

    Sawa mkuu ntafanya kufatilia vipimo!
  8. Bin Shaib

    Wapendwa naumwa kiuno

    Wapendwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo,,wapendwa me naumwa kiuno kimenisumbua sahizi Kama miezi miwili sasa. Umri miaka 29 CHANZO CHA TATIZO: Siku moja usiku nilikuwepo nyumbani basi nipo zangu nimetulia ndani mala panya akapita juu ya kench nyumba ni slope ,,nikawa nimechukuwa ufagio...
  9. Bin Shaib

    Anataka nimuoe, nahisi wameniunganisha naye

    Amina mpendwa ,,,Barikiwa na BWANA
  10. Bin Shaib

    Anataka nimuoe, nahisi wameniunganisha naye

    Wewe ni muumini wa dhehebu gani lazima uwe na utambulisho kiongozi,,,kuna wasabato,waislam,wabudha n.k huo ndo utambulisho tulionao usipotoshe watu
  11. Bin Shaib

    Anataka nimuoe, nahisi wameniunganisha naye

    Kwani kubadili dini nikosa?! Unaweza kuwa Muislam ukawa Roman Cathoric tuna Uhuru wa kuchagua
  12. Bin Shaib

    Anataka nimuoe, nahisi wameniunganisha naye

    Amina mkuu,,,MUNGU ataniongoza
Back
Top Bottom