Recent content by Bin Shaib

  1. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Mimi ni nani katika elimu ya Saikolojia?

    Wakuu habari ya majukumu,,,,natumai Mungu anawapigania sana katika mapito yote hapa chini ya jua. Mimi niende kwenye maada,,nimekaa siku moja nikaanza kujihoji Mimi ni nani kwenye hili? Maana ni toka zamani sana navuta kumbukumbu nasema waooh mbona ipo hivi? Yaani huwa nikianzisha jina au...
  2. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    😆😆 Maana inakuwaga changamoto kweli kweli
  3. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    ✍️
  4. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Pole pia mkuu kwa hali hiyo!
  5. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Bora lawama!
  6. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Hahahahah! Halafu kuna wale wa niazime 500 hapo nakurudishia ,halafu anakauka nayo kama hajui vile
  7. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Hakika mkuu msimamo mhimu sana.
  8. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Hiyo ni kweli,,,,,,,maana kuna wakati hata ile kukwambia haiwezekani unashindwa
  9. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Kwanini umeongea hivyooo?
  10. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Ooh pole mkuu,,,,,halafu Huwa kuna wengine anaweza kuja kuazima Elfu moja anakwambia nakurudishia nikipata change halafu anakauka,,me kuna mdada tumepanga nae hapa napoishi aliniazima hivyo amekausha mpaka sasa anajua la willbda nimesahau,,,,namsubiri tu siku akiingia namkumbusha.
  11. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

    Wapendwa habari ya majukumu ya kulijenga Taifa letu la Tanzania. MUNGU ni mwema kwetu,hakika anatupigania usiku na mchana,, Maada: Nimekaa nikijiuliza, kwanini nikianza kupata pesa mfulululizo ama kiasi fulani ambacho unasema angalau,unashangaa unapigiwa simu na mtu mnaefahamiana au ndugu...
  12. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Nina stess kali za kuoa mpaka nakonda mwili

    Sina imani ya kutumia mafuta ya upako
  13. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Nina stess kali za kuoa mpaka nakonda mwili

    😆 Kwamba kuokota makopo kisa stress zimezidi!
  14. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Nina stess kali za kuoa mpaka nakonda mwili

    Mimi ni mwanaume aliyekaza tena mwenye Future
  15. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Nina stess kali za kuoa mpaka nakonda mwili

    Hakika mkuu
Back
Top Bottom