Ukishatambua siasa ni utapeli hutahangaika nayo unabaki kushangaa watu wanavopata jazba bila mpangilio..
Wee angalia tu kwenye matukio mbalimbali uone kama kuna mwanasiasa huwa anaumia.
Wanaumia Kondoo/Nyumbu baadae wao ndo wanatoa shingo na midomo kujifanya wanawatete wao wanadraw pesa kama kawa.
Jana niliuliza hivi neno dicteta ni kwaajili ya waafrika tu na waarabu ama hata wazungu huitwa hivo tofauti na toka wamuite Hitler?
Alitokea bwana mmoja akiitwa Magufuli tukaimbishwa sana kuwa ni dikteta mbona wanayofanya USA ni zaidi ya hayo kwanini wao wanaonekana wako sahihi?
Kaa popote mradi kuwe na utulivu tu haijalishi ni mbagala mkuu ushawahi fika Kijichi? Kuna watu wanaishi...
Dar only connections ndo zitakushape kaka kinyume na hapo utasugua sanaa asikudanganye mtu..
Usisahau kuloga mkuu.
Kambi za jeshi kwisha habari
Halafu mwisho unasema wanarusha vikombora!!
Hivo vikombora wanarusha kina nani?
Mambo mengine hayahitaji hata sample za damu au stool au urine kupima Afya ya akili ya mtu namna tu anavoandika unajua yuko katika hali gani.
Kumbe wabongo hutujui eeh!
Lissu tu yupo korokoroni hapa na hakuna hata panya anaenda kumtete lakini huku ukikuta post zinazoandikwa unabaki kushangaa tu..
Ngoja tuone Af
Ngoja tuone After Ramadhani maana walisema wamo kwenye mfungo..
Yote na yote vita si vizuri haijalishi ni vya kiuchumi au kiimani maana wanaumia viumbe vingine...
Lakini kwanini kila vita duniani mpaka kuwe na israel na USA?
Propaganda promax
Wewe angalia tu humu jamvini kuna mtu kila saa anapost israel anashambulia sehem fulani lakini kuna Dimona sijui njugu zimeshushwa huko haandiki..
Ikitokea baadae miaka kadhaa mtoto akisoma ataona israel ilikuwa inashambulia tu haikushambuliwa.
Ndo mfano wa Hitler sasa.
Sasa mtu wanauliwa viongozi tu lakini mwendo wa vita uko palepale inaonekana system ya uongozi ilishapangwa mda mrefu.
Maana anakufa mmoja anaingia mwingine na nia ileile mwendo ule ule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.