Recent content by BIN NUN

  1. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Marekani ikitumia Section 7031(c) ina maana wana taarifa za UHAKIKA, mbali na Mafwele kuna majina mangapi mengine kwenye Faili?

    Nyumbu mwingine... Sijamuhusisha Samia katika comments zangu ila kwa kuwa nyumbu hufuata hata harufu nawe umepita mule mule yaani..
  2. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Aliewaona watu wa boti ya pili wanatoboa kwa gesi ni nani ? Lakini ukiweka neno inasemekana habari inakuwa haina ithibati.
  3. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Marekani ikitumia Section 7031(c) ina maana wana taarifa za UHAKIKA, mbali na Mafwele kuna majina mangapi mengine kwenye Faili?

    Wewe unielimishe kuhusu nini? Kukufata kwenda kuandamana ndo elimu! Mimi sio Nyumbu wa kufuata mkumbo bila kuchakata mambo. Hakuna mtu mwenye akili timamu atachoma mali za raia wenzake kwa kisingizio cha kuandamana huo ni uhayawani wizi na uharibifu.. Kawashawishi Nyumbu wenzako wafuatane nawe...
  4. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Marekani ikitumia Section 7031(c) ina maana wana taarifa za UHAKIKA, mbali na Mafwele kuna majina mangapi mengine kwenye Faili?

    Umeandika POROJO tupu Yes mimi ni mwema lakini walionifanyia uasi ndo hao hao wanaoitwa waandamanaji.. Niungane nao ili nifanye uharibifu na wizi kama nilivofanyiwa mimi? Siwezi ungana na Wapumbavu vibaka wafanya uharibifu wa mali za umma kwa kigezo waandamanaji.
  5. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania BODABODA mna moyo wa ujasiri sana

    Lema alisema bodaboda ni kazi ya laana 🤣🤣🤣 Leo walaniwa wametoa msaada.
  6. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Marekani ikitumia Section 7031(c) ina maana wana taarifa za UHAKIKA, mbali na Mafwele kuna majina mangapi mengine kwenye Faili?

    Mkuu ukigusa neno Simu inaniuma sana bora msiwe mnataja Walichonifanyia 29 wanaojiita waandamanaji sinaga hamu nao kabisa.. Waliibia simu za kutosha eti ndo maandamano. Nilishasema siku yakitokea kama yale tena polisi wanipe hata bomu 10 nitahakikisha vibaka nawalipua.
  7. BIN NUN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Ungesindikiza na kapicha namna unavojichora huo mstari
  8. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Hivi mpaka sasa sub-saharans bado tunaamini sababu ya tabu zetu ni wazungu?

    Wazungu wanachangia kwa sababu ya ujinga wetu. Wewe watu wamesoma wanaitwa maprofesa na hakuna hata uvumbuzi wowote wanafanya si bado ni wajinga! Hata tube ya baiskeli tu mpaka itoke china au india na wakati tunaweza kulima mpira ukatumika kutengeneza hizo tube...
  9. BIN NUN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna haja gani ya kuchafuana baada mahusiano kuvunjika?

    Watu mnapitia mengi dunia hii si mchezo.. Ukioa na wakamjua mkeo mbona utaishi kwa mawenge sana muda wowote wanakuchomea betri kwa mkeo.
  10. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Ungesaidia kutufunza hapa kuwa ukikosea jambi fulani unazaa mtoto mwenye tatizo kadhaa.. Au ukikosea kanuni hii basi mtoto utakaezaa akifikisha umri kadhaa anakufa.
  11. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Hili ndo jibu la muuliza swali mkuu? Kwamba huko kwa wachina na wahindi wanaoamini Mungu tofauti na wanaomwamini waafrika huko hakuna matatizo kama haya alio yauliza ? Kwamba China na uhindini watoto hawafi ?
  12. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Haya sasa kimenuka kiwanda cha kusafishq mafuta kujengwa Mombasa sio Tanga mapendekezo ya aliko dangote

    Post zingine banah Yaani mkuu unapost kama status vile. Hakuna chanzo cha habari wala link.
  13. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania TANZIA Baharia Mtanzania apoteza maisha wakati meli inavuka mfereji wa Hormuz

    Usiguse huu waya una umeme unasema hapana ngoja niguse nihakikishe .. Mungu akumweke mahali pema peponi.
  14. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Huo ni mzunguko tu mhusika alikuwa mkeo analiwa ni bakabaka na usiku huo alikuwa lindo so no ushahidi lazima patengenezwe movie
  15. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani kuwa tajiri?

    ''Tajiri analala kwa saa 2 tu" Hapa ndipo uzi wako umegeuka kuwa porojo.
Back
Top Bottom