Recent content by BIN NUN

  1. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Rachel dangwa ilibidi akamatwe Mapema sana maana alikua anatumia matusi ya nguoni

    Trump na ulinzi wake lakini wanadam wanapenya na kumkosakosa kumuua Sembuse huyo raia tu!
  2. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuwa Moro wamegundua machimbo ya dhahabu?

    Sahihi. Tena moro wana rubi kwa wingi nazani wataongoza kwa rubi
  3. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Nadhani kuna kitu tumefichwa kuhusu mwenge

    Mambo mengine ni kama ulivo itajiri mafanikio nk. Huwa kanuni zinakataa kusema hadharani. Ni sawa na kumwambia Bakharesa umefanikiwaje? Hatakupa jibu zaidi ya ngojera.
  4. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Sahihi kwahiyo Biblia ni kitabu cha mkusanyo wa historia au hekaya?
  5. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Ukijibiwa swali hili nitag tafadhali.
  6. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Muuliza swali mtego wake uko hapa Kwanini Yesu hakuanza na kutengeneza kitabu cha muongozo wa yale maneno matakatifu ya Mungu anayofundisha akaanza na vitu kama kutengeneza divai?
  7. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania PETER SHALULILE rasmi ni mwananchi Yanga. Asante GSM kwa kuendelea kuonyesha upendo

    Kuwait au sio!
  8. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Kwa ufinyu wa Akili yangu na kusoma kwangu nimeshindwa kujua haswa Yesu ni nani? Hivo jibu kamili la Yesu kuwa ni neno la uzima bado sijalipata mkuu.
  9. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Yesu alianza kutengeneza divai kwasababu watu waliikosa kwenye harusi ya kana ndipo akageuza maji kuwa divani.. Kwanini alifanya hivo; 1.kuwasaidia wenyeji wasiabike 2.kuonyesha utukufu wake ili watu wakubali neno lake.
  10. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Mimi nadhani biblia ni mkusanyiko wa vitabu mbalimbali ambavo wakiristo huamini ni maneno ya Mungu.
  11. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya Club ya Simba?

    Hahahaha Manvungu apepewe
  12. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Uvunjaji wa tamaduni wa Simba na Yanga ndiyo mwisho wa Raisi Karia

    Unathibitishaje mfano huu ni ushirikina. Yaani mfano ndo umeambiwa utoe uthibitisho kisanyansi unathibitishaje?
  13. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatujalogwa sisi ni wajinga

    Mtu akizui mitandao mnasema ni dicteta. Mmeachiwa huru mnasema tena vijana hakuna wanachojifunza kwa mitandao. NIKWELI NYIE NI WAJINGA.
  14. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Nadhani Jay Ruty anavuta mpunga mrefu kutoka Diadora kupitia Simba. Tuamke

    Kwamba muamke mfanyaje sasa?
Back
Top Bottom