Wapi nimeandika kwamba kuna vitabu vya makombora?
Comment yangu mimi nimekataa kuwa hivo sio vitabu vya makombora hata mimi najua vitabu vya makombora sio hivo.
Wewe unaniuliza tena kitu nilichokikataa mkuu.!!!!!
Ili mradi tu muonekane mnajua bila hata kufanya utafiti.
Hivi kweli ulichoandika hapo ndo vitabu vya makombora?
Una uhakika na ulichoandika ama umeambiwa tu?
Hapo hakuna kitabu cha kombora fanya tafiti vizuri hivo ni vitabu vya watoto.
Sio kuwafuatisha waarabu tu ni kipi mnaweza kufanya bila kufatisha waarabu au wazungu?
Hizi simu tu mmefatisha hao wazungu.
So nyie mnafatisha kila kitu mpaka kiama labda ujinga tu ndo wenu wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.