Mambo mengine ni kama ulivo itajiri mafanikio nk.
Huwa kanuni zinakataa kusema hadharani.
Ni sawa na kumwambia Bakharesa umefanikiwaje?
Hatakupa jibu zaidi ya ngojera.
Muuliza swali mtego wake uko hapa
Kwanini Yesu hakuanza na kutengeneza kitabu cha muongozo wa yale maneno matakatifu ya Mungu anayofundisha akaanza na vitu kama kutengeneza divai?
Yesu alianza kutengeneza divai kwasababu watu waliikosa kwenye harusi ya kana ndipo akageuza maji kuwa divani..
Kwanini alifanya hivo;
1.kuwasaidia wenyeji wasiabike
2.kuonyesha utukufu wake ili watu wakubali neno lake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.