Recent content by BIN NUN

  1. BIN NUN

    Wakili Marijani: Mnyika ameupotosha Umma, shauri la mgawanyo wa mali wa CHADEMA

    Ukishatambua siasa ni utapeli hutahangaika nayo unabaki kushangaa watu wanavopata jazba bila mpangilio.. Wee angalia tu kwenye matukio mbalimbali uone kama kuna mwanasiasa huwa anaumia. Wanaumia Kondoo/Nyumbu baadae wao ndo wanatoa shingo na midomo kujifanya wanawatete wao wanadraw pesa kama kawa.
  2. BIN NUN

    Kumbe Marekani ndio inapokea pesa za mauzo ya mafuta ya Iraq! Sasa hii ina tofauti gani na ukoloni?!

    Jana niliuliza hivi neno dicteta ni kwaajili ya waafrika tu na waarabu ama hata wazungu huitwa hivo tofauti na toka wamuite Hitler? Alitokea bwana mmoja akiitwa Magufuli tukaimbishwa sana kuwa ni dikteta mbona wanayofanya USA ni zaidi ya hayo kwanini wao wanaonekana wako sahihi?
  3. BIN NUN

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Unaweza kudadavua hizo percentage namna utakavozipata ?
  4. BIN NUN

    Mataifa matano Afrika yanapaswa kuilipa Marekani dola 15,000 kwa shabiki mmoja Kombe la Dunia

    Hivi wazungu wana neno dikteta kweli? Maana tukiyafanya weusi wanatuita vibaya wao wakishafa inaonekama ni sahihi.
  5. BIN NUN

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Natumaini unajua maana ya dola. Kama unategemea jambo lolote la kuonesha kudondosha dola sahau mkuu....
  6. BIN NUN

    Mimi ni mgeni Dar, je kukaa baadhi ya sehemu kunaweza kushape maendeleo yako?

    Kaa popote mradi kuwe na utulivu tu haijalishi ni mbagala mkuu ushawahi fika Kijichi? Kuna watu wanaishi... Dar only connections ndo zitakushape kaka kinyume na hapo utasugua sanaa asikudanganye mtu.. Usisahau kuloga mkuu.
  7. BIN NUN

    Sitaki kumsaliti mke wangu ila ananilazimisha

    Church girl? Halafu anakagua simu yako!! Unapigiwa kikondoo mkuu
  8. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna watu wengine haina hata haja ya kuwauliza mkuu . Maana hana atakachojibu cha maana zaidi ya ushabiki.
  9. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kambi za jeshi kwisha habari Halafu mwisho unasema wanarusha vikombora!! Hivo vikombora wanarusha kina nani? Mambo mengine hayahitaji hata sample za damu au stool au urine kupima Afya ya akili ya mtu namna tu anavoandika unajua yuko katika hali gani.
  10. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kumbe wabongo hutujui eeh! Lissu tu yupo korokoroni hapa na hakuna hata panya anaenda kumtete lakini huku ukikuta post zinazoandikwa unabaki kushangaa tu..
  11. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwahiyo zayuni alivopiga ile shule ya watoto ilikuwa sawa? Binadamu wengine mpoje aisee
  12. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kamwe hawezi post jambo la zayuni kupigwa kamwe akipost nitag
  13. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ngoja tuone Af Ngoja tuone After Ramadhani maana walisema wamo kwenye mfungo.. Yote na yote vita si vizuri haijalishi ni vya kiuchumi au kiimani maana wanaumia viumbe vingine... Lakini kwanini kila vita duniani mpaka kuwe na israel na USA?
  14. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Propaganda promax Wewe angalia tu humu jamvini kuna mtu kila saa anapost israel anashambulia sehem fulani lakini kuna Dimona sijui njugu zimeshushwa huko haandiki.. Ikitokea baadae miaka kadhaa mtoto akisoma ataona israel ilikuwa inashambulia tu haikushambuliwa. Ndo mfano wa Hitler sasa.
  15. BIN NUN

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sasa mtu wanauliwa viongozi tu lakini mwendo wa vita uko palepale inaonekana system ya uongozi ilishapangwa mda mrefu. Maana anakufa mmoja anaingia mwingine na nia ileile mwendo ule ule.
Back
Top Bottom