Recent content by BIN NUN

  1. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Iran yateka Drone Nyambizi mpya ya Marekani

    Porojo haya mambo yalikuwa yakudanganya watu enzi zile sio ulimwengu huu. Supapawa amepigana muda gani mpaka sasa?
  2. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Pole zinaenda kwa Samia peke yake, Je, Wake wenza hawajafiwa? Ubaguzi umezidi hadi msibani

    Mkuu kwani wewe umemhani yupi mkubwa au mdogo!
  3. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Kwani mrekodi wa dhambi yupo duniani? Kwani ukisema mwana kondoo huwa una maanisha nini mkuu? Ni binadamu anaefanana na kondoo au ?
  4. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Ushahidi wa kufufuka? Mtu aliefufuka si anaonekana yeye baada ya kufufuka mbona haonekani?
  5. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Atakosekanaje wakumshinda wakati kina wanaume aalimuua!
  6. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Wapi nimeandika kwamba kuna vitabu vya makombora? Comment yangu mimi nimekataa kuwa hivo sio vitabu vya makombora hata mimi najua vitabu vya makombora sio hivo. Wewe unaniuliza tena kitu nilichokikataa mkuu.!!!!!
  7. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Huyu huyu Yesu alopigwa kwenye mambao au mwingine mkuu!
  8. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Polisi form four failure wanataka kumuua Daktari Bingwa

    Mfano ukiwa unatibu mgonjwa unajuaje huyu ni polisi?
  9. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Ili mradi tu muonekane mnajua bila hata kufanya utafiti. Hivi kweli ulichoandika hapo ndo vitabu vya makombora? Una uhakika na ulichoandika ama umeambiwa tu? Hapo hakuna kitabu cha kombora fanya tafiti vizuri hivo ni vitabu vya watoto.
  10. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Kwamba hapo chamwino ndo unafikiri kupo kutupu?
  11. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Asili Halisi ya Mwenge wa Uhuru: Siri Yafichuka

    Porojo
  12. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kumbe Marehemu ameacha wajane wawili!

    Mkuu point yako ni nini sasa? Kwamba ni ajabu kusikia uke wenza ama wataka kwenda kumsitiri mjane mmojawapo!
  13. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Kuzika kabla yaswala ya adhuhuri ni mila au tumeiga Wakoloni?

    Sio kuwafuatisha waarabu tu ni kipi mnaweza kufanya bila kufatisha waarabu au wazungu? Hizi simu tu mmefatisha hao wazungu. So nyie mnafatisha kila kitu mpaka kiama labda ujinga tu ndo wenu wenyewe.
  14. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu juu ya Mazishi

    Wala hakuna shida akifa mtu wako wa karibu kaa nae hata mwezi ndo umzike usiwahishe.
  15. BIN NUN

    JamiiForums Tanzania Chama atishia kuweka wazi mazungumzo yake na Eng, Hersi alivyomlazimisha kujiunga yanga

    Kuna vitu vingine hata mtoto humdanganyi unaangalia tu. Mtu akulazimishe halafu akulipe ?
Back
Top Bottom