Wewe unielimishe kuhusu nini?
Kukufata kwenda kuandamana ndo elimu!
Mimi sio Nyumbu wa kufuata mkumbo bila kuchakata mambo.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atachoma mali za raia wenzake kwa kisingizio cha kuandamana huo ni uhayawani wizi na uharibifu..
Kawashawishi Nyumbu wenzako wafuatane nawe...
Umeandika POROJO tupu
Yes mimi ni mwema lakini walionifanyia uasi ndo hao hao wanaoitwa waandamanaji..
Niungane nao ili nifanye uharibifu na wizi kama nilivofanyiwa mimi?
Siwezi ungana na Wapumbavu vibaka wafanya uharibifu wa mali za umma kwa kigezo waandamanaji.
Mkuu ukigusa neno Simu inaniuma sana bora msiwe mnataja
Walichonifanyia 29 wanaojiita waandamanaji sinaga hamu nao kabisa..
Waliibia simu za kutosha eti ndo maandamano.
Nilishasema siku yakitokea kama yale tena polisi wanipe hata bomu 10 nitahakikisha vibaka nawalipua.
Wazungu wanachangia kwa sababu ya ujinga wetu.
Wewe watu wamesoma wanaitwa maprofesa na hakuna hata uvumbuzi wowote wanafanya si bado ni wajinga!
Hata tube ya baiskeli tu mpaka itoke china au india na wakati tunaweza kulima mpira ukatumika kutengeneza hizo tube...
Ungesaidia kutufunza hapa kuwa ukikosea jambi fulani unazaa mtoto mwenye tatizo kadhaa..
Au ukikosea kanuni hii basi mtoto utakaezaa akifikisha umri kadhaa anakufa.
Hili ndo jibu la muuliza swali mkuu?
Kwamba huko kwa wachina na wahindi wanaoamini Mungu tofauti na wanaomwamini waafrika huko hakuna matatizo kama haya alio yauliza ?
Kwamba China na uhindini watoto hawafi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.