Recent content by Billy Kimber

  1. Billy Kimber

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

    World Vision kama sikosei
  2. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Mnamatch vyema kabisa.Perfect
  3. Billy Kimber

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Atoe kitabu cha kazi gani wakati ameshasimulia hapa.Watu hawatonunua maana wanaijua stori,ya nini kuirudia. Akitaka apate pesa kwenye hii stori aishie hapa kusimulia,halafu aandae softcopy ya kipande kilichobaki/full stori auze.Mwenye uhitaji analipia kiasi fulani anatumiwa.
  4. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulikuwa katika hali gani siku ya harusi?

    Yaani sijui ntaambia nini watu
  5. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulikuwa katika hali gani siku ya harusi?

    Kila nikiwaza ntahitajika kudance na kutoa neno kuhusu mahusiano yetu stimu inakata kuhusu hio siku
  6. Billy Kimber

    JamiiForums Tanzania Wale wapenzi wa Reggae tukutane hapa! Taja ngoma yako unayoikubali

    Everton Blender-Lift up your head
  7. Billy Kimber

    JamiiForums Tanzania Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

    Wali maharage..Asee aliegundua hii mixer Mungu amuweke sana
  8. Billy Kimber

    JamiiForums Tanzania Huduma za kufanyiwa mchakato wa hati, kufanyiwa uthamini (Valuation) na masuala yote ya ardhi

    Kwa benki au taasisi nyinginezo za kifedha ukiwa na hati ni rahisi kupewa mkopo.Huwa mara nyingi wanapendelea mali isiyohamishika ambapo hii inahusisha nyumba au kiwanja. Baada ya kujaza form za maombi ya mkopo,watafanya uthamini wa nyumba/kiwanja chenye hati husika kwa ajili ya dhamana. Baada...
  9. Billy Kimber

    JamiiForums Tanzania Huduma za kufanyiwa mchakato wa hati, kufanyiwa uthamini (Valuation) na masuala yote ya ardhi

    Yeyote mwenye uhitaji au maulizo karibu
  10. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Kweli kabisa Mkuu, umenena vyema
  11. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Utabiri(Horoscope)ni kitu tofauti kidogo na Unajimu( Astrology ).Japo utabiri ni sehemu ya unajimu lakini ni kitu kingine. Ila hapa kinachoongelewa ni Nature,vitu kama vilivyo na wala sio utabiri. Mbuzi na Chui hawakai pamoja (hio ni nature). Siku moja Mbuzi na Chui wataweza kukaa pamoja(Huo...
  12. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Sikuwa na lengo baya.Ila nmejaribu kusema vitu kama vilivyo.Sio utabiri ila ni nature. Ni kama kusema mbuzi na chui wanaweza kuishi sehemu moja.Nature haiwarusuhu wakae pamoja ila ukiwaona wamekaa pamoja ujue mda wowote mambo yatakua tofauti
  13. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Nyota ukianza kuingia deep sana ndio inaweza kukufanya ukakufuru. Tumia nyota kukupa muongozo tu wa maisha mengine achana nayo.Itakuongoza umuoe nani,ufanye shughuli gani na namna ya kuishi baada ya kugundua madhaifu yako. Mengineyo achana nayo
  14. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Itakua alikuaambia ukweli. Wanawake wengi hasa hasa hawa mabinti wa kileo huwa wanafatilia hivi vitu vya nyota. Ukifatilia vizuri utangundua wengi kwenye Bio zao za Instagram wameweka Zodiac Sign zao na tarehe zao za kuzaliwa.
  15. Billy Kimber

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Mara nyingi ambayo ina mashiko sana ni Sun sign (tarehe ya kuzaliwa).Jua huwa linazingatiwa sana maana ndio mhimili wa Astrology. Hivyo vingine inabidi uende deep sana.Ukijua umezaliwa saa ngapi na mahali gani ndo unaweza kujua hizo rising sign na sayari nyingine zinakuangukia kwenye nyota ipi.
Back
Top Bottom