InguMbM
Mbinguni ni either MTU uende kwenye jahanam (full mateso) au peponi (starehe au kula Bata) ambayo ni raha ya milele. Raha ya milele ya kwenu ni kuimba kucheza na kufutwa machozi yaani hapo unahisi starehe imekamilika? Yaani leo ukiamua kufanya starehe kubwa utaimba nakucheza tu...
2015 kura M8 vs M6. 2020 kura mi12 vs m2. Hilo anguko unakionaje. Bado tu mnadanganywa na umati, kumbuka kura ni Siri. Ukitegemea hizo picha hamtaacha kujipamoyo kuwa mmeibiwa.
Kwnn isiwezekane ubunge anshinda kwa wingi wa kura na si asilimia za kura inawezekana hata kukosa kabisa. Imagine kila Jimbo uzidiwe hata kura mojamoja unaweza ukawa na kura nyingi kwa hesabu lakini usiwe na mbunge hata mmoja. Sasa kutoka kura m6 Hadi 2 hapo mnapanda au kushuka?
Hivi Nani anawamini tena? Kama mlituhumu lowasa miaka nenda Rudi kuwa yeye ni fisadi baadaye mkaja mkamsafisha wenyewe, mkaandaa list of shame mkaifuta wenyewe, hivi iktokea 2025 lowasa akagombea uraisi kupitia ccm mtakuja tuhuma gani tena, huyu jamaa ameondoka ngoja tusubiri tuhuma za watu...
Awamu ipi ilikuwa takatifu ambayo haijawai kutesa Wala kupoteza mtu Hilo ndo swali langu.
Halafu hata hao unasema wameteswa na kutekwa hebu waorodheshe tujue hata idadi yao. Si ajabu wasifke hata10 na bado hatuna ushahidi wa aliyewatesa au kuwateka, ni tuhuma tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.