Haya ndio madhara ya vyeo vya kupewa kwa kupendelea na kujuana😕
Yani nimemsikiliza bungeni nikasikitika sana ni kama anajibu mahasidi wake na sio kujibu kwa kutatua changamoto mbaya ya umeme inayoendelea nchini😕
Hakika imemshinda kwanza ana majibu ya hovyo anajibu kimajungu majungu kitu ambacho kama kiongozi hapaswi kufanya hiyo na kinachomponza ni kiongozi wa mitandao halafu anaonekana chief hangaya ni mtu wake kwa hiyo hatumtishi na hatuwezi kumfanya chochote.
katika sababu zote alizowahi kuzisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.