Akili za mbayuwayu changanya na zako ,kuwa makini na maneno ya kuambiwa kijana , haya maneno ya mitandaon yanafanyaga kijana shame kwao bila hata kuwa na direction akifika mjini anakaa veto Moja mtu 5 kula kwa shida na bado hatoboi
Dogo nae fuckin kulea mitoto kindez ndez matokeo ndo hayo inatakiwa watoto wamuogope baba mfano hili gar la baba,hiki chumba cha baba hili kochi la baba
Nimekusamehe mpenzi ,buibui
Mawazo,buibui
Inatosha,msanii Mpya
Siku kama hiz,tid
Nyimbo za Alice kela
Ommydimpo kajiandae
mwanafaa , ft kiba siikumbuki jima
Diamond, ukimuona
Benipol Pete
Alikiba maumivu
Kasim mchawi, awena
Switcher baby your my
Anzisha ugomvi na mkeo mtukane matusi mwambie we in gogo tu kitandani, kama mtoto si
wako utamsikia tu ataropoka kuwa we mwenyewe hamna kitu nakuvumilia tu kwanza ata flani so mtoto wako
kinachofanyika hapo unakuwa umemtoa kwenye conscious mind ,umemfanyia confrontation Ku uncover the truth...
Ndo mawazo yetu Africa badala tuwaze kuanzisha centre za kulea wazee,tunawaza kuzaa watoto wengi ili watusaidie uzeeni, haya imagine ukiwa Mzee mwanao yupo kazin watoto boarding school unaachwa na house girl hyo furaha utaipata wap si bora ungekuwa center na wazee wenzako mnadiscus tu enz za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.