Wacha maringari.kazi nzuri ukiwa nayo.Kwanini usubiri ufukuzwe usijifukuzishe mwenyewe?daaaah jiwe akipata hii habari, namhurumia sana dereva sijui pssf yake itabaki salama.., gharama ya gari si chini ya 250m jiwe atamuacha salama kweli? ikiwa mimi situation yangu kwa sasa kazini ni ndogo tu lakini ninavyopelekeshwa natamani hata wanifukuze kazi tu niachane nao kwa huyu ni mungu tu aweke mkono wake aisee
26. Na wala sio dogo ni mtu mzima
Baba na mtoto wote sukuma ndani, walipe matengenezo ya gari.
Maana hapo ni wazi kwamba sio mara ya kwanza kwa huyo mtoto kuendesha hilo gari, ni mazoea yake na baba yake huenda hajawahi mkanya kisawa sawa ndio maana dogo anaona poa tu kukanyaga mafuta
Acha mawazo potofu kwani kuiba vipuri mpaka liende nyumbani,story iko hivi!
Watetezi wa dereva wa Mkuu wa Mkoa wanadai kwamba dreva alichukua Gari hilo kwenda kuliosha nyumbani kwake;
Alipomaliza kuliosha mgeni akaingia, Akaliacha Gari hilo likiwa silencer, akaingia ndani kuteta na mgeni;
Mtoto nae akaliiba kwenda kuoshea mtaani ndipo akalipiga chini!
Baada ya dereva (baba) kupata taarifa ya ajali (alizimia)
(Ukichambua coincidence hii pamoja na kwamba haina logic)
Bali imekiuka agizo la waziri Mkuu;
Ambapo alipiga marufuku madreva wote wa magari ya serikali kwenda na magari nyumbani mwao!
...............
Mambo kama haya;
YAMKINI HATA DOGO ALITUMWA AKANUNUE SODA YA MGENI CHAP
- Ndiyo yanayofanya magari ya serikali kutumia mafuta mengi pasipo sababu
- Yanachangia magari ya serikali kusafilisha magendo
- Yanachangia vipuri na spea za magari ya serikali kuibiwa na kubadilishiwa
- Tunayapisha njiani kwa ving'ora kumbe house girl kaliiba ili awahi gengeni nk
Umejaribu kuvaa viatu vyao?....kua na ubinadam kidogo!
Jiwe hana shida na kanda ya ziwa.niamini dogo na babake watabaki salama kabisadaaaah jiwe akipata hii habari, namhurumia sana dereva sijui pssf yake itabaki salama.., gharama ya gari si chini ya 250m jiwe atamuacha salama kweli? ikiwa mimi situation yangu kwa sasa kazini ni ndogo tu lakini ninavyopelekeshwa natamani hata wanifukuze kazi tu niachane nao kwa huyu ni mungu tu aweke mkono wake aisee
story iko hivi!
Watetezi wa dereva wa Mkuu wa Mkoa wanadai kwamba dreva alichukua Gari hilo kwenda kuliosha nyumbani kwake;
Alipomaliza kuliosha mgeni akaingia, Akaliacha Gari hilo likiwa silencer, akaingia ndani kuteta na mgeni;
Mtoto nae akaliiba kwenda kuoshea mtaani ndipo akalipiga chini!
Baada ya dereva (baba) kupata taarifa ya ajali (alizimia)
(Ukichambua coincidence hii pamoja na kwamba haina logic)
Bali imekiuka agizo la waziri Mkuu;
Ambapo alipiga marufuku madreva wote wa magari ya serikali kwenda na magari nyumbani mwao!
...............
Mambo kama haya;
YAMKINI HATA DOGO ALITUMWA AKANUNUE SODA YA MGENI CHAP
- Ndiyo yanayofanya magari ya serikali kutumia mafuta mengi pasipo sababu
- Yanachangia magari ya serikali kusafilisha magendo
- Yanachangia vipuri na spea za magari ya serikali kuibiwa na kubadilishiwa
- Tunayapisha njiani kwa ving'ora kumbe house girl kaliiba ili awahi gengeni nk
Wamemsingizia,unakuta dingi huwa anampa kuendeshaMalezi ya mtoto hayako sawa.
Ofisi ya baba siyo ya kucheza nayo.
Haijalishi gari iko silent au loud ila ni ofisi ya baba hiyo hauchezi nayo.
Mfano akafukuzwa kazi na hali ikawa mbaya wanafamilia watakua wanakuangalia kwa jicho la "Yote umeyataka wewe"
Naongeza nyama kdg. Licha ya kumuogopa wamuheshimu kuoita maelezo. Wamsikilize hata kama hawana masikio..Dogo nae fuckin kulea mitoto kindez ndez matokeo ndo hayo inatakiwa watoto wamuogope baba mfano hili gar la baba,hiki chumba cha baba hili kochi la baba
Best comment.Akifukuzwa hatakua kapokonywa leseni ,mzee,majinja zipo,kidinilo zipo labda angekua mwalimu hivi,mbunge ndo angepata tabu
Nini Agizo la majaliwa watu hawafuati hata ya Ankali,Magari ya serikali yanalala majumbani kwa madereva na sio CCM wala ofisini,watu wanakula rushwa kama kawaida huko kwenye maofisi ya umma.story iko hivi!
Watetezi wa dereva wa Mkuu wa Mkoa wanadai kwamba dreva alichukua Gari hilo kwenda kuliosha nyumbani kwake;
Alipomaliza kuliosha mgeni akaingia, Akaliacha Gari hilo likiwa silencer, akaingia ndani kuteta na mgeni;
Mtoto nae akaliiba kwenda kuoshea mtaani ndipo akalipiga chini!
Baada ya dereva (baba) kupata taarifa ya ajali (alizimia)
(Ukichambua coincidence hii pamoja na kwamba haina logic)
Bali imekiuka agizo la waziri Mkuu;
Ambapo alipiga marufuku madreva wote wa magari ya serikali kwenda na magari nyumbani mwao!
...............
Mambo kama haya;
YAMKINI HATA DOGO ALITUMWA AKANUNUE SODA YA MGENI CHAP
- Ndiyo yanayofanya magari ya serikali kutumia mafuta mengi pasipo sababu
- Yanachangia magari ya serikali kusafilisha magendo
- Yanachangia vipuri na spea za magari ya serikali kuibiwa na kubadilishiwa
- Tunayapisha njiani kwa ving'ora kumbe house girl kaliiba ili awahi gengeni nk
"Kutokujua sheria sio sababu ya kutohukumiwa" Acha wavune walichopanda Baba ni kilaza na mtoto ni kilaza
We jamaa umenikumbusha enzi hizi mshua anaacha kalamu kitandani makusudi Sasa ole wako akute imegeuzwa hicho kipondo,utamuita izrael aje kumchukuaDogo nae fuckin kulea mitoto kindez ndez matokeo ndo hayo inatakiwa watoto wamuogope baba mfano hili gar la baba,hiki chumba cha baba hili kochi la baba
Ha ha haaaaaa,, mkuu mlikuwa kwenye gereza! Naamini kwako sasa hivi hakuko hivyo! Huwezi ukawa na kochi lako special!
[/QUOTE
Sio kila kitu alichonunua baba lazma mtoto akitumie , kwan kama yapo makochi mengi kwn tukisema hili baba ndo anapendaga tuliache liwe smart kwa ajili yake kuna ubaya hata kanisani lazma kuwe na sit za wazee Wa kanisa ,matabaka hata mbinguni yatakuwepo huwez kukaa sit moja na Musa au Ibrahim wewe
We jamaa umenikumbusha enzi hizi mshua anaacha kalamu kitandani makusudi Sasa ole wako akute imegeuzwa hicho kipondo,utamuita izrael aje kumchukua
[/QUOT
Hahaha ilikuwa hatari mzee
Wakupambana na rushwa kalala ikulu tuNini Agizo la majaliwa watu hawafuati hata ya Ankali,Magari ya serikali yanalala majumbani kwa madereva na sio CCM wala ofisini,watu wanakula rushwa kama kawaida huko kwenye maofisi ya umma.