Kwanz huo ni ushenzi na unatabia chafu,Huo mchepuko ulivyokua unalala nao hukujua kuwa kuna mimba?wanaume wenzio wanafanya hayo mambo kwa akili na kuwajali wake zao,sasa mungu akadhibu ipasavyo na uumbuke mbele ya familia na jamii kwa ujumla
Jamani wanaume wa siku hzi ni balaa,sifa ya mwanaume ni kutoa haijalishi umetoa mara ngapi,sasa mkianza kuhesabu umetoa out wanawake wangapi,itafika kipindi umeoa utamwambia mke aende kutafuata hela ya kukulisha na kukuvisha kisa ulimtolea mahali na unamlea hapo nyumbani
Kwanza ulimpotezea muda binti wa watu,pili kama ulijua humtaki ungemuacha mapema kuliko kumchezea,Mimi naona ni sawa malipo hayo yanakufaa,ili nawe uone utamu wa kupenda pasipo pendeka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.