tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,817
- 15,138
1. Mpe pesa hata kama hajakuomba na usimuulize kazitumiaje.
2. Usimuulize ulize maswali ya kijinga jinga, mfano ucmuulize ''uko wapi na nani na mnafanya nini?
3. Tengeneza distance na yeye, yani usimpe nafasi ya kukujua in and out zako.
4. Usionyeshe wivu kwake, we hata ukimuona njiani kakumbatiana na linjemba lingine we kausha tu, ye mwenyewe atajiongeza kwanini umemkaushia.
5. Usimkosoe hata kama kakosea.
6. Usiwe muongeaji sana na hata ukiongea unaongea point tupu.
7. Usiwe mlalamishi hovyo.
8. Fanya naye mapenzi vizuri
9. Vaa pamba za kawaida na uwe nadhifu.
10. Akipendeza umsifie.
11. Usitumie kilevi chochote.
2. Usimuulize ulize maswali ya kijinga jinga, mfano ucmuulize ''uko wapi na nani na mnafanya nini?
3. Tengeneza distance na yeye, yani usimpe nafasi ya kukujua in and out zako.
4. Usionyeshe wivu kwake, we hata ukimuona njiani kakumbatiana na linjemba lingine we kausha tu, ye mwenyewe atajiongeza kwanini umemkaushia.
5. Usimkosoe hata kama kakosea.
6. Usiwe muongeaji sana na hata ukiongea unaongea point tupu.
7. Usiwe mlalamishi hovyo.
8. Fanya naye mapenzi vizuri
9. Vaa pamba za kawaida na uwe nadhifu.
10. Akipendeza umsifie.
11. Usitumie kilevi chochote.