ila kwa zama za sasa tulizonazo gari inaenda kuwa kama basic need kwenye familia kwa sababu kuna dharula nyingi au matukio mengi ambayo ukiwa na usafiri utayafanya ukiwa comfortable.
mimi binafsi bado sina gari naunga unga mwana ila kipindi mvua ikinikuta kwenye mizunguko yangu huwaga natamani...
Vp kuhusu klugger wadau maana niliipenda sababu ni gari ya juu kidogo au kama kuna gari mnishauri maana napenda gari ya juu sababu ya maeneo ninayoishi ni rough road
Bati uhakika ni Alaf baada ya hapo kiboko zengine uwe na machake sana huwa ni nyepesi mno mfano hiuo bati bomba kimeo.
Pia zingine zinapauka 5000 tu inaweza kukuharibia nyumba yako
hahahahahaha komaa ndugu hata mie nawazaga sana huu mziki wa ghorofa maana nina nyumba kama 3 hivi najiulizaga ningeweka hizi nguvu pamoja si nina kagorofa na mie
hii ramani kubwa sana nahisi hata hiko kiwanja kidogo pia sio nzuri tafuta ramani simple maana kuteseka sio sifa ila pia jenga nyumba ambayo kesho hata ukiama hayo mazingira unaweza kuitumia hata kibiashara.
ila ni mawazo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.