Recent content by Bigstone

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mahojiano ya Rostam na Tido Mhando ni maigizo kwa 100% (staged interview)

    I discuss ideas not people as you do!
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mahojiano ya Rostam na Tido Mhando ni maigizo kwa 100% (staged interview)

    GT watakuwa wamemwelewa vizuri Rostam. Tatizo lenu vijana mnausujudu sana umaskini
  3. B

    JamiiForums Tanzania Auawa kwa kumkufuru mtume Muhammad S.A.W

    Uko sahihi kabisa. Maendeleo Afrika na hasa Tanzania yatakuja tutakapozikana imani za zote za kuletewa na kuaminishwa. Mwogope sana ntu mweupe.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kituo cha Afya Kizimkazi kinatoa matibabu na chakula bure

    Unapaswa kuwa makini sana unapoandika habari nyeti kama hii. Mara kituo cha afya mara zahanati. Which is which? Mwishowe utasema ni hospitali ya mkoa wa Kizimkazi.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Auawa kwa kumkufuru mtume Muhammad S.A.W

    Nawe unakufuru sivyo?
  6. B

    JamiiForums Tanzania CCM waliponunua mabasi sikuwaelewa, Sasa nawaelewa

    Hata siku ya uchaguzi, mabasi, pikipiki,baskeli, ni ruksa kuwasogeza watu karibu na eneo la tukio. Kuna ubaya gani???
  7. B

    JamiiForums Tanzania Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Ataimbwa mara dufu kuanzia siku ya ngao ya jamii
  8. B

    JamiiForums Tanzania Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

    Wengine wametoka Mbeya, Songea, Ntwara, Manyara, Musoma , Bukobw hadi Kawe kumsikiliza tu huyo mpendwa wao.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Unapotaka kuhamia sehemu au kununua makazi, kuna umuhimu wa kuangalia aina ya majirani?

    Jirani huchagui. Jirani si rafiki hata umchague. Yeye ni automatic. Umpende usimpende ni wako.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Pongezi sana zimwendee streka hatari Mzize. Amethibitisha kuwa anajitambua. Yule mama ni mpigaji tu, mtafuteni Msuva
  11. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea wa CCM hajaongea jipya lolote, ameshindwa kujinadi vyema

    Umesema hajaongea kitu, sasa comments za nini?
Back
Top Bottom