Recent content by bigjeff82

  1. B

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    hongera sana kaka wanalima sana Ngwasha upande huu na wateja ni Wakenya na pia vitunguu,wafugaji kweli wanasumbua but kidogo siku hizi sheria imekuwa kali so wako makini nikujitahidi kuweka fance eneo lako tuu
  2. B

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    haha nimechimba maji mirungi juu huko Tae ndio wanakimbiza
  3. B

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    ooh ok nilifikiria Kahawa maana bado na eneo kama eka 70 sijalifanyia kazi ndio nipo kwenye process lakulisafisha ,na horticulture kwaajili ya cash flow...nipe mawazo Kilimo gani kingine?
  4. B

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    Chief shamba ni eka 104,60 zinamkonge tayari unaenda mwaka wa tatu,zilizobaki tunasafisha kwasasa eka 13 za kuanzia kilimo cha kawaida zinazobaki tutaendelea kuzisafisha kwaajili ya kupanda mkonge mwakani inshaAllah
  5. B

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    ok chief nikajua naweza pata mmoja ambae anaujuzi kote
  6. B

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    asante kaka inabidi aisee
  7. B

    Je, kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti?

    unachimba kaka bila shaka sema gharama tuu
  8. B

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    Habari ,natafuta kijana mwenye elimu na uzoefu wa kilimo na ufugaji anaeishi Mkoa wa Kilimanjaro,,Shamba lipo Makanya Wilaya ya Same ,Shamba tumechimba maji na kuna kilimo cha mkonge kinaendelea tunataka kulima Mazao mengine ,mwenye interest kwa maongezi zaidi ani DM na my Whatsapp...
  9. B

    Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    nimepanda kwa mara moja shamba lote na palizi nafanya kwenye miraba kwa mkono uzuri nipo karibu na estate ya METL so nguvu kazi napata kupitia hapo na kwa sasa narudia mbegu ambazo hazijakaa vizuri nimejipanga kaka Alhamdulilah
  10. B

    Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    hongera sana mkuu nami nimeingia kwenye kilimo nimepanda eka 62 ina mwaka sasa inshaAllah tuombe uzima..but hiyo attachment haifunguki kwangu
  11. B

    Kilimo cha Tufaa (Apple)

    Sijawahi Kaka nasijasema soko la nje ni rahisi na mimi nipo nje naona watu wanavyopambana kuleta mazao huku na kupata faida kila kitu kinawezekana ni kupambana tuu usiwatishe watu ndugu
  12. B

    Kilimo cha Tufaa (Apple)

    Sio kweli kaka tunajifunza vingi kwenye mitandao kwa bure na vinatusaidia kusonga na maisha.
  13. B

    Kilimo cha Tufaa (Apple)

    Kaka labda umesoma hukunielewa ujumbe wangu na pia kuuliza Soko si mbaya kwasababu kuna watu maybe washafanya na kuelewa hili zao vizuri ndio maana unatakiwa kufanya research kwa jambo lolote ambalo ujalianza kujua undani wake na sio kila kinacholiwa kinapendwa na wengi.
  14. B

    Kilimo cha Tufaa (Apple)

    ok safi sana ulichukua kwa biashara? au kwa kula nyumbani lol
Back
Top Bottom