Recent content by Biggerthanyourbf

  1. Biggerthanyourbf

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Hapa nime notice vitu viwili, cha kwanza wanawake hamwezi ku handle accountability, cha pili mnapenda kujifananisha sana na wanaume in all spheres/aspects of life. Jamii linatupokea sisi tofauti katika mienendo yetu na katika vitendo vyetu, na maanisha at the end of the day. The repurcussions...
  2. Biggerthanyourbf

    Je, soko la HISA ni utapeli?

    Nikamua kuiweka UTT je, apo unanishaurije??
  3. Biggerthanyourbf

    Sehemu za kazi ni sehemu hatari sana ingawa tunapokea chochote kitu

    Bora angekausha tu [emoji28][emoji28][emoji1]
  4. Biggerthanyourbf

    Niwekeze kiasi gani UTT AMIS ili gawio langu kwa mwezi ifike 250k

    Mpesa riba zao zimekaaje mkuu? Ni 10% fixed au interests zao zipo compounded kadri unavyozidi kuongeza hela
  5. Biggerthanyourbf

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Everything is transactional! There is an expectation that if one GIVES, one will RECEIVE.
  6. Biggerthanyourbf

    Nimekuta mke wangu ana maongezi ya kimapenzi na mwanaume kwenye simu yake

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mwamba anasemaga humu, havina muongozo
  7. Biggerthanyourbf

    Mwanamke bikira ndiye mwenye uhalali wa kutolewa mahari

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi naona hio kutumika baada ya kulipa mahari ndo miyeyusho zaidi. Maana wajomba wanakua wanajipigia BUREEEE!
  8. Biggerthanyourbf

    Aliyewaambia hatupendi matango makubwa kawadanganya

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi naona fisting [emoji1477][emoji1477] ndo imekua kama trend mpya hapa mjini. Nasema hilo kwasababu moja nimeona limezungumziwa humu kama vile ni jambo la kawaida na sio mara moja. Pili, wahusika kwenye wakiwa kwenye tendo esp wakikutana size zao haziendani...
  9. Biggerthanyourbf

    2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

    Samahani mkuu, naomba nikuulize. Kwahiyo ukiombwa 50K unatoa?? [emoji1][emoji28]
  10. Biggerthanyourbf

    Anapost wanaume walionunua magari na chattings zao status wakati mimi niko kwenye hali ngumu kiuchumi

    Enhe embu tupe maoni yako, kitendo alichofanya uyo mwanamke unaona ni sawa? Unaweza usielewe malalamiko ya huyo jamaa from a woman's point of view.
  11. Biggerthanyourbf

    Kweli ndoa ngumu, binti anataka kuolewa na boda boda

    Bodaboda mmoja alinichana kua ata akiamka saa sita mchana akakomaa adi saa mbili usiku hakosi 50K per day. Per month hio ni 1.5M na hapo ameamka mchana, na hapo bado hatuja jumlisha dili za hapa na pale. Tu assume anaingiza 2M per month, huo ni zaidi ya mshahara ya watu wengi sana walioajiriwa...
  12. Biggerthanyourbf

    Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

    Mimi aliniambia kua mume wake alimzoesha kupiga 3some bila yeye kupenda, yani 3some ya FFM (wanawake wawili kidume mmoja), mume akakolea akaanza kumwomba mke wake atafute rafiki zake ambaye atakua tayari kufanya huo mchezo na atakua tayari kumlipa hela sijui 250K, bhas KE akawa anakubali...
  13. Biggerthanyourbf

    Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

    Kitendo cha wewe kuridhika haimainishi kua na mwenzako atakua ameridhika na wewe. Unaweza ukawa umeridhika ila mwenzako akawa na mwenzake mwingine anae mridhisha.
  14. Biggerthanyourbf

    Kulea Watoto ni Raha na Karaha

    Wanakuambia having children is THE BEST-WORST DECISION. Chukua hilo, ishi nayo alafu changanya na yako.
Back
Top Bottom