Asa ule uonii umeunganika wa shule zote mbili.. unaona mdogo ulee..
Alaf kwel umepotea kipnd lowasa anasaka wa zamin kwa chadema alikuja uwanja gan kama sio uo wa kimandulu
* Jamaa mmoja alienda kukata mkaa polini.. wakati anakata mkaa Panga lake likadondoka mtoni...akaanza kulalamika sana...
malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia..
Jamaa akamjibu nimedondosha panga langu mtoni na ndiyo natumia kuendesha maisha yangu..
Malaika akazama mtoni akatoa panga la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.