Wadau habari zenu, natafuta zile pump za umwagilia zinazotumia miguu kusukumia maji kama kuna mtu anafahamu zinapatikana wapi hapa dar tafadhari anielekeze
amna kitu mkutano ulikuwa wa kumshangilia fisadi papa tu, sijaona point pale iliyotoka kwa mgombea zaidi ya mama Gema Kutoka TGNP ndio aliongea vitu makini na kumuelekeza mama Lowassa. Kwa ujumla wake hawaja jipanga kwa kuwaeleza sera na mikakati kwa wanawake kwa akina mama
well said hana lolote huyo, Wabunge wengi wamefanya makubwa majimboni kwao sio yeye jamaa wa monduli. ilo ata katika hotuba moja Slaa alieleza utumbo wake jimboni
Make up your mind wewe, unaongea nini una undermine watu wakati huwa jui, ngoja siku wakuingilie na wakujue ndio utakapo amini kweli yapo. We Alshabab umewaona wanavyo vaa wewe.
mkuu kweli humu watu wengi wanaongea kama wanakatikia piss za ukuni zikiwa zimewaingia, wengi watoto mama wanaongea ongea tu na kuleta uchadema humu wakati swala la hatari. Wengine kulakulala humu
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya chakula na wakati mwengine nafanya biashara.
Ni kipindi sasa toka niachane na kuuza kuku na badala yake nauza mayai na nimegundua kama nitakuwa na ujuzi au mbinu ya kuwafanya watage mayai mengi.
Kama wana JF mtanisaidia kujuua ni...
Dude mi no know yu are f...ckin level of education and u no know mine too. Respect your self, kip in yur mine am not bad ass low as you are. Accept challenge......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.