kigoma ni mji wa waha, wamanyema, watongwe, ni vikabila vidogo vidogo sana,
ndg zangu kigoma sasa hivi ni mji wa uwekezaji. kama una mavumba kimbia njoo kgm baada ya daraja la kikwete kukamilika patakuwa hapakamatiki
Ni vema kumshauri huyu dogo "diamond" umaarufu wa kuhondomola sio inua mjengo maeneo yenye umaarufu hapa Dar tutakuona mkali, vinginevyo ni ushamba tu!
Tanzania ni ya watu wa familia chache za viongozi waliowahi kuongoza nchi hii, wataendelea kula hadi wajukuu zao. lakini matokeo yake ni kama ilivyotokea mbeya na ile ni kiduchu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.