Yesu kristo alitoka mbinguni kama roho akaibukia duniani kupitia mimba ya bikra maria, nadhani mnajua mambo makubwa aliyo yafanya.
Roho + mwili = binadamu. Chukulia mfano roho ya marehemu mwenye PhD imerudi duniani kupitia kichanga kilichozaliwa leo unadhani huyo mtoto shuleni atakuaje?
Je...
Wewe unadhani nini kingetokea kwa jamii kama wangetangaziwa tu gafla? Kuvujisha taarifa it was the part of the plan to prepare the wananchi psychologically maana ule mcyba ulikuwa ni wa watiziii wote it was all planed.. Conclusion angalia aliye anounce the event na anaye anounce the memorial day...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.