Recent content by Big Nyota

  1. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Thread Nzuri .Naweka Kambi hapa
  2. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Nilijua yupo chuo anaendelea na masomo kumbe kadisco tangu mwaka jana

    Mkuu umenikumbusha mbali sana....Hii kauli Yako ni ya kweli kabisa😄😄
  3. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za Ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Kabisa tuunde hata group la WhatsApp kwa walio tayari ili kupeana updates za hapa na pale😄
  4. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Maisha yanazidi kuwa magumu, familia inanitegemea na sinachochote cha kuwapa. Kichwa kinawaka moto sijui la kufanya!

    Umeshauri vizuri sana👊 .... Hapo kwenye POMBE, WANAWAKE naongezea na KAMARI ..Kijana akivishinda hivyo vitu vitatu hachelewi kufanikiwa Mleta mada ulifanikiwa kuzikabili changamoto? Njoo utupe mrejesho!
  5. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

    Nadhani amejichanganya huyo hiyo hela kwa nchi za marekani wanalipa kwa per hour na sio per day
  6. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Nimekumbwa na tatizo la hair loss na ninavyoona sio hair loss ya kawaida, ni upara kabisa

    Hii super charge ni nini wakuu hata Mimi nahitaji kujua ila Sina kipara sana,😄😄😄
  7. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za Ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Mkuu nakuja PM unipe mbinu uliyotumia maana bado sijafanikisha jambo langu na siku zinasonga
  8. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Kwa rika lake, Diamond ni Tajiri namba Moja Tanzania

    Kwa ubaruku Kuna jamaa namfahamu kashusha majengo ya nguvu hapo... somebody TN
  9. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Mwenye utaalam wa kazi za kupaka rangi kucha aje tuongee, Vifaa na kijiwe cha kazi kipo

    Nina kijana ambaye ni mtaalamu sana kwenye hiyo kazi... Kama ipo nichek
Back
Top Bottom