Recent content by Big Nyota

  1. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za Ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Kabisa tuunde hata group la WhatsApp kwa walio tayari ili kupeana updates za hapa na pale😄
  2. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Maisha yanazidi kuwa magumu, familia inanitegemea na sinachochote cha kuwapa. Kichwa kinawaka moto sijui la kufanya!

    Umeshauri vizuri sana👊 .... Hapo kwenye POMBE, WANAWAKE naongezea na KAMARI ..Kijana akivishinda hivyo vitu vitatu hachelewi kufanikiwa Mleta mada ulifanikiwa kuzikabili changamoto? Njoo utupe mrejesho!
  3. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

    Nadhani amejichanganya huyo hiyo hela kwa nchi za marekani wanalipa kwa per hour na sio per day
  4. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Nimekumbwa na tatizo la hair loss na ninavyoona sio hair loss ya kawaida, ni upara kabisa

    Hii super charge ni nini wakuu hata Mimi nahitaji kujua ila Sina kipara sana,😄😄😄
  5. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za Ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Mkuu nakuja PM unipe mbinu uliyotumia maana bado sijafanikisha jambo langu na siku zinasonga
  6. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Kwa rika lake, Diamond ni Tajiri namba Moja Tanzania

    Kwa ubaruku Kuna jamaa namfahamu kashusha majengo ya nguvu hapo... somebody TN
  7. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Mwenye utaalam wa kazi za kupaka rangi kucha aje tuongee, Vifaa na kijiwe cha kazi kipo

    Nina kijana ambaye ni mtaalamu sana kwenye hiyo kazi... Kama ipo nichek
  8. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Mwisho Mwampamba: Vyombo vya habari viliniandika kwa uongo, hakuna pesa yoyote niliyoshinda kwahio sio kweli eti nilifirisika

    Kwa sababu alikuwa na uhandsome flani hivi ambao kwa miaka ile ilikuwa ni rahisi kuwapata hao maslay queen 😂😂
  9. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za Ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Shukrani sana mkuu, kwa maelezonyaliyonyooka kama rula!! 🙏
  10. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za Ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Changamoto Yao ni Moja tu hawapati muda mwingi wa kutulia na familia maana kazi za Cruiseships unaweza Kaa hata mwaka mzima upo kupiga kazi mpaka upate likizo!
  11. Big Nyota

    JamiiForums Tanzania Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za Ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Kwenda kufanya kazi sehem yoyote lazima ujipange, kiufupi uwe na 6m+ au hata 10m
Back
Top Bottom