Recent content by Big ngolako

  1. B

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Sijaipenda ngoja kwanza nikakate gogo,mh aisee labda nitarudi.
  2. B

    Kibanda awasili Tanzania,amwaga machozi

    Welcome back home brave kibanda, may the almighty God give u strength & protect u against all evil.
  3. B

    KAWAMBWA: Lukuvi alilidanganya Bunge kuhusu Matokeo ya Kidato cha nne 2012 Yaliyofutwa

    Kwa mara ya kwanza tumeona serikali iki reseat badala ya wanafunzi.hii ndio bongo
  4. B

    CHADEMA wanasa mikakati ya CCM, Kinana kumwondoa Tundu Lissu Bungeni

    Aisi kumbe!, ngoja kwanza nitarudi.
  5. B

    Mbunge, Naibu Waziri watajwa mauaji ya kamanda Liberatus Barlow! Shuhuda ahifadhiwa kwa IGP Mwema...

    Mmmmh hii hatari sasa,ngoja nikakate gogo kwanza maana mwili umeshtuka.
  6. B

    Ukimya wa Mbowe na Slaa juu ya sakata la Mtwara nini tasfiri yake??

    Nikama vile mh mbowe katoa kauli jaribuni kufuatilia.
  7. B

    Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

    Ndiyo mzee ,ndiyo mzee
  8. B

    Bunge laahirishwa ghafla kutokanana msemaji wa upinzani kudai serikali inaua waandishi wa habari

    Hilo nilijua kwamba watu wa mby hawawezi kuchagua mbunge muoga au fara,big up kamanda sugu.wanakwita sugu nani?wanakwita sugu nani?wanakwita sugu sug suguuuuuuuuuuuuu
  9. B

    MSIGWA apata dhamana

    Hongera kamanda na wapiganaji wako kwa kufikisha ujumbe.maana mby wamachinga mwanjelwa wanauza siku 7 kwa wk,siku 30 kwa mwezi,na siku 365 kwa mwaka.kwanini iringa wakatazwe kuuza siku1-wa wk ili kujiongezea kipato? Ama kweli ukitaka kuju akili ya mtu mpe nafasi ya kusema au kutenda.
  10. B

    Yaliojiri asubuhi mahakamani Iringa kwa mbunge Msingwa

    Big up kamanda msigwa kwa kuongoza kikosi vema,ila hakikisha kama ni dhamana wanapata wote wapambanaji.
  11. B

    Msaada wa kutuma thread

    Naomba msaada namna ya kutuma thread kwenye jf.
  12. B

    Mimi mgeni wana jf

    Habari ya leo ,naomba mwongozo kwenu wakongwe wa jamvii hili
  13. B

    Kashfa mpya kwa Meya wa BUKOBA!Anatory Aman.

    Katika nchi zenye proffesional police service,hii ni issue nzuri tu wangefika haraka sana kumhoji.
  14. B

    IRINGA: Vurugu, Machinga na Polisi wapambana

    Angalau kapicha kwa walie karibu na maeneo ya tukio.
Back
Top Bottom