Huyu kijana amejidharirisha kama alimwambia kondakta kuhusu hiyo mia mbili akakataa basi angeachana nae tu afanye mambo yake. Ona sasa ukoo mzima unamuona mpumbavu. Vijana fikirini kabla ya kutenda.
Wewe mbona unafanya verbal diarrhea kwa kutumia Fake ID?.. Acha Gwajima atumie haki yake ya kikatiba kuzungumza. Wewe andika threads zako nyingi na ID yako fake.
Lissu ni tapeli tu. Sasa hivi wakisema kura zirudiwe hapati hata asilimia 20% ya kura zote. Watu walimuamini lakini matarajio yamekuwa tofauti mno, TAL hana utulivu pia uanaharakati ni mwingi. TAL ana tatizo la akili, he's somehow psychopathic!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.