Recent content by Big L

  1. Big L

    JamiiForums Tanzania Je, kuna ukweli kuwa waafrika weusi tumelaaniwa? (World cup rant)

    Pole kama ndiyo umejua leo. Waafrika ni ngono na fitina tu aah hapo umefika labda kuwe na kombe la Dunia la haya mambo tutashinda.. wallahi tena!
  2. Big L

    JamiiForums Tanzania Scientific fact na knowledge Thread

    Ukisoma Kitabu cha Stephen Hawking cha A Brief history of Time.. ameongea vitu vingi mno kuhusu hili ikiwemo issue ya Blackholes.. Jamaa alikuwa Genius!
  3. Big L

    JamiiForums Tanzania Kwanini watoto wa siku hizi hamlewi?

    "Asa hivi"..
  4. Big L

    JamiiForums Tanzania Homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi?

    Huyo sio daktari.
  5. Big L

    JamiiForums Tanzania Homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi?

    Acha ujinga wewe, soma kisha chukua hatua jikinge.. Na sio HB, Viral diseases nyingi huwa hazina cure zaidi ya kupewa treatments tu. Sasa wewe jifanye juha tu.
  6. Big L

    JamiiForums Tanzania Homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi?

    Wewe nae acha porojo zako za kienyeji, Vaccines zinasaidia kuleta immunological memories ndani ya mwili dhidi ya Vimelea au antigens zozote zile. Hayo magonjwa unayosema yanabebeshwa vipi au ndiyo immunology ya mtaani mtaani?
  7. Big L

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Vijana Omba omba mitandaoni ni kubwa sana fanyeni kazi

    Ila JF ina furahisha sana. Sawa😂
  8. Big L

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Vijana Omba omba mitandaoni ni kubwa sana fanyeni kazi

    Hahaha.. sisi tutaamini vipi hizo 200 msg ni za kuombwa hela?
  9. Big L

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Vijana Omba omba mitandaoni ni kubwa sana fanyeni kazi

    Wewe umejoin 2021 mkuu... hizi habari za 2016 ni kwa ID nyingine au? Au ulivyosema " Humu" ulimaanisha nini?
  10. Big L

    JamiiForums Tanzania Nimekwazwa na bandiko la Robert Mtibeli linalosema eti 'Wanaume na Wanawake wako sawa kiakili', - Siyo kweli

    Hakuna faida yoyote ile ya wewe kujichetua na kuandika mambo yasiyo na mantiki.
  11. Big L

    JamiiForums Tanzania Nimekwazwa na bandiko la Robert Mtibeli linalosema eti 'Wanaume na Wanawake wako sawa kiakili', - Siyo kweli

    Nakwambia hivi acha kujichetua. Mimi nimemaliza. Hayo mambo ya lastborn wenu mimi sio hoja yangu.
  12. Big L

    JamiiForums Tanzania Nimekwazwa na bandiko la Robert Mtibeli linalosema eti 'Wanaume na Wanawake wako sawa kiakili', - Siyo kweli

    Wewe AKILI HUNA. Andika kama mtu anayejitambua mbona vijana wa miaka hii mnajichetua?
  13. Big L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Viongozi wa Chadema walio baki nje hawafikii hata nusu ya Lissu

    Aaah wapi. Bado wataona tu kasoro, labda waongozwe na Malaika.
  14. Big L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Viongozi wa Chadema walio baki nje hawafikii hata nusu ya Lissu

    Watanzania ni gullible sana, yaani wanafanya vitu kwa mihemko tu, sasa Mange yeye ni nani mpaka awape viongozi go ahead?.. Hii Nchi ina upumbavu mwingi sana
  15. Big L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Viongozi wa Chadema walio baki nje hawafikii hata nusu ya Lissu

    Hata Mimi ndiyo huwa namuona huyu Dada akili zake sio timamu. Yeye anaongea hayo yupo USA halafu anazungumzia viongozi wa CHADEMA kuwa ni wanawake?... Watanzania msiingie huu mkenge.. Hawa ni matapeli wa wanufaika na ujinga wenu period!
Back
Top Bottom