Ukisoma Kitabu cha Stephen Hawking cha A Brief history of Time.. ameongea vitu vingi mno kuhusu hili ikiwemo issue ya Blackholes.. Jamaa alikuwa Genius!
Acha ujinga wewe, soma kisha chukua hatua jikinge.. Na sio HB, Viral diseases nyingi huwa hazina cure zaidi ya kupewa treatments tu. Sasa wewe jifanye juha tu.
Wewe nae acha porojo zako za kienyeji, Vaccines zinasaidia kuleta immunological memories ndani ya mwili dhidi ya Vimelea au antigens zozote zile. Hayo magonjwa unayosema yanabebeshwa vipi au ndiyo immunology ya mtaani mtaani?
Watanzania ni gullible sana, yaani wanafanya vitu kwa mihemko tu, sasa Mange yeye ni nani mpaka awape viongozi go ahead?.. Hii Nchi ina upumbavu mwingi sana
Hata Mimi ndiyo huwa namuona huyu Dada akili zake sio timamu. Yeye anaongea hayo yupo USA halafu anazungumzia viongozi wa CHADEMA kuwa ni wanawake?... Watanzania msiingie huu mkenge.. Hawa ni matapeli wa wanufaika na ujinga wenu period!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.