Recent content by Big L

  1. Big L

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Wewe mwenyewe hapa unatumia JamiiForums ya Bw. Mex Melo, ambaye ni mtu na alizaliwa na Mama yake. Ulimwengu ni watu pasipo watu hakuna ulimwengu.
  2. Big L

    JamiiForums Tanzania Abiria na kondakta wa daladala warushiana ngumi na kushikama mashati kisa nauli mpya ya Sh 700 katika safari ya Mbezi Makumbusho

    Huyu kijana amejidharirisha kama alimwambia kondakta kuhusu hiyo mia mbili akakataa basi angeachana nae tu afanye mambo yake. Ona sasa ukoo mzima unamuona mpumbavu. Vijana fikirini kabla ya kutenda.
  3. Big L

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kumsikiliza na kumwelewa Polepole wa Sasa tuwarejee Mapolepole wa awamu mbili zilizopita

    Pole pole ni mtu kama watu wengine hivyo ana madhaifu. Lakini awamu hii anasema ukweli.
  4. Big L

    JamiiForums Tanzania Kwa kuwa platform atayobakia nayo kuendeleza chuki kwenye jamii ni lile kanisa lake, mamlaka zimfungie huduma hiyo tuone jeuri anaitoa wapi

    Wewe mbona unafanya verbal diarrhea kwa kutumia Fake ID?.. Acha Gwajima atumie haki yake ya kikatiba kuzungumza. Wewe andika threads zako nyingi na ID yako fake.
  5. Big L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni kufahamu sifa za wanawake wa Kipare

    Ndugu yako au ni wewe?. Huyo ni wewe ila fresh tu
  6. Big L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii mimba itakuwa ya nani?

    Acha upumbavu wako wewe..Et "Rafiki yangu" wakati ni wewe mwenyewe. Ngono haina tuzo, Mpumbavu mkubwa wewe!
  7. Big L

    JamiiForums Tanzania Wito: Watu Wenye Uwezo, Tujitokeze Tujitolee Kumsaidia TAL na Kuisaidia Chadema to Play Real Politics, No Reforms No Election ni Utopian Politics!.

    Lissu ni tapeli tu. Sasa hivi wakisema kura zirudiwe hapati hata asilimia 20% ya kura zote. Watu walimuamini lakini matarajio yamekuwa tofauti mno, TAL hana utulivu pia uanaharakati ni mwingi. TAL ana tatizo la akili, he's somehow psychopathic!
  8. Big L

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

    Ila JF kuna wana akili ajabu😂🙌🏽
  9. Big L

    JamiiForums Tanzania Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

    Wewe ni mwehu hivi ulienda shule wewe kweli? Hiyo pesa baba yako angenunua bunda walau ana msaada kufanya usafirishaji. Mbwa wee!
  10. Big L

    JamiiForums Tanzania Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

    Wewe kumbe Mwehu. Ndo mana kila siku huwa nasema Ndugu Melo aweke hata Quick test kupima IQ za watu humu kabla ya kujoin.. Wewe ni mwendawazimu..
  11. Big L

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

    Huyu mwalimu ni mwehu. Sasa wehu kama hawa waje watufundishie watoto zetu?.. kwanza linaonekana zero kichwani.
  12. Big L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?

    Ella es agua. Tanzania will never forget Magufulu's death.
Back
Top Bottom